MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Namuongelea saka na martineli kama individualMkuu angalia mpira acha mahaba na team
Hao vijana still wana mengi kuprove
Arsenal bado wimbi hili la matokeo lisikupe kibri
Depth ya scuad ipo meintanable au injuries hujui zipo + fatique na drop off ya form per player
unataka nitumie misimu kumi ndio kusema huyu ni bora ?
messi akiwa na miaka 21 kashapata ballon d'or kwa nini hawakusema tusubiri msimu mwengine
chai ni nzuri ikinywewa ya moti