Bukoba: Mwanamke akatwa mguu na hawara yake(picha zinasikitisha)

Bukoba: Mwanamke akatwa mguu na hawara yake(picha zinasikitisha)

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,390
1.jpg
2.jpg
3.jpg
5.jpg

Wana bodi. Nimesikitishwa na kitendo cha huyu dada muelimishaji rika mkazi wa Izimbya kucharangwa mapanga na kibaya zaidi kukatwa mguu na kuondolewa kabisa na mtu anayedaiwa ni hawala yake wala si mume. Sitaki kusema kinachoendelea kuhusu hii kesi lakini naweka namba ya huyu dada (ILI ASAIDIWE ZAIDI).

Huyu dada anaitwa happy no yake ni 0767836794
 
ungetudokeza kidogo kinachorndelea kuhusu kesi hii naiman wengi wangevutiwa kufanya mawasiliano na huyo dada ili kumsaidia
Huyu dada anaitwa happy no yake ni 0767836794
 
Back
Top Bottom