Bukoba: Mwanamke akatwa mguu na hawara yake(picha zinasikitisha)

Bukoba: Mwanamke akatwa mguu na hawara yake(picha zinasikitisha)

Kubwa kuliko yote unakuta huyo jamaa baada ya mda mchache anadunda uraiani, inauma sana kwa kweli
 
Namba umetoa sawa, lakini wadau tunauliza ni tukio la lini hili, na chanzo ni kipi?

Umetoa taarifa kifupi sana na kuzalisha maswali yanayokosa majibu.

Chanzo cha nini
Tukio la wiki hii
 
Kumbe hawara kwahiyo alikuwa anasaliti ndoa amepata alicho stahili angekuwa mwaminifu kwa ndoa hayo yasinge mpata ss nichange ili iweje.huo ni mshahara wa dhambi.aseee
 
Damn it!!!!!! Hata angekua mke wa ndoa, hakuna sheria ya kumdhuru mtu kimwili kiasi hiki!!!!!!!, huyo mbwa ameshamatwa??!!!!!
 
Back
Top Bottom