Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Hawara yake popote alipo mkimkamata uume wake ukatwe ili Nyegezi zimtoke.View attachment 1942050View attachment 1942051View attachment 1942052View attachment 1942053
Wana bodi. Nimesikitishwa na kitendo cha huyu dada muelimishaji rika mkazi wa Izimbya kucharangwa mapanga na kibaya zaidi kukatwa mguu na kuondolewa kabisa na mtu anayedaiwa ni hawala yake wala si mume. Sitaki kusema kinachoendelea kuhusu hii kesi lakini naweka namba ya huyu dada (ILI ASAIDIWE ZAIDI).
Huyu dada anaitwa happy no yake ni 0767836794
Huyo mtuhumiwa hakutakiwa kua hai,wananchi walitakiwa wamalizane nae awe mzoga,unamchoronga mtu kama nyamaView attachment 1942050View attachment 1942051View attachment 1942052View attachment 1942053
Wana bodi. Nimesikitishwa na kitendo cha huyu dada muelimishaji rika mkazi wa Izimbya kucharangwa mapanga na kibaya zaidi kukatwa mguu na kuondolewa kabisa na mtu anayedaiwa ni hawala yake wala si mume. Sitaki kusema kinachoendelea kuhusu hii kesi lakini naweka namba ya huyu dada (ILI ASAIDIWE ZAIDI).
Huyu dada anaitwa happy no yake ni 0767836794
Roho mbaya hii ukatili was kinyamaView attachment 1942050View attachment 1942051View attachment 1942052View attachment 1942053
Wana bodi. Nimesikitishwa na kitendo cha huyu dada muelimishaji rika mkazi wa Izimbya kucharangwa mapanga na kibaya zaidi kukatwa mguu na kuondolewa kabisa na mtu anayedaiwa ni hawala yake wala si mume. Sitaki kusema kinachoendelea kuhusu hii kesi lakini naweka namba ya huyu dada (ILI ASAIDIWE ZAIDI).
Huyu dada anaitwa happy no yake ni 0767836794
Inasikitisha sana
...Mkuu ulileta stori hii, umeweza kutuletea hata picha za tukio lakini member wanakazana huku kukuambia angalau eleza japo kidogo tu tukio lilivyokuwa, husemi kitu umekazana tu watu wampigie simu mhusika!
Kwa ulijua kuwa picha ndio zitamaliza kila kitu?
Sawa, tumesisimshwa na picha za tukio. Sasa tupe maelezo japo kidogo tu kulitokea mini?
Mkuu umenifanya nicheke wakat hili tukio n la huzuni sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Doctor aliyemshona naye ni takataka tuu