[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Aanh
Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries
Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano
Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
Hao Majeruhi umewaona? Tuwekee Picha zao hapa tafadhali. Yaani Ndege izame 90% na Mkia kubakia Juu halafu Unidanganye kuna Watu ( Majeruhi ) Wameokolewa? Endeleeni tu kutufanya Mipan'gang'a ( Wapumbavu ) sawa?Mwenyzi mungu awape nafuu mapema majeruhi
Pole!!! Hiyo ni ajali real. Huwezi kufanya simulation ya ajali kwa kutumia ndege inayofanya kazi tena ya private company.Hii ni emergency rescue simulation wadau
We haupo Bukoba lakin unataka kusikia watu wamekufa wangapi?Hao Majeruhi umewaona? Tuwekee Picha zao hapa tafadhali. Yaani Ndege izame 90% na Mkia kubakia Juu halafu Unidanganye kuna Watu ( Majeruhi ) Wameokolewa? Endeleeni tu kutufanya Mipan'gang'a ( Wapumbavu ) sawa?
Ambayo Rais na Commander In Chief alikuwa hajataarifiwa kiasi kwamba ilipotokea nae akatuma Salamu zake za Pole kwa Wana Kagera na Watanzania wote kwa Ujumla?Hii ni emergency rescue simulation wadau
Video ipo lakini anaweza kusema ya leoWee unadhani ni uongo had video ipo
Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....
Yule jamaa ni mchawi
Huwa mnapata wapi muda wenu muhimu wa kuwajibu Wapuuzi kama huyo / hao?Pole!!! Hiyo ni ajali real. Huwezi kufanya simulation ya ajali kwa kutumia ndege inayofanya kazi tena ya private company.
Bahati mbaya Sina historia humu ya kuvunjia watu heshima,naheshimu Kila wazo la mwanamember hapa jfHao Majeruhi umewaona? Tuwekee Picha zao hapa tafadhali. Yaani Ndege izame 90% na Mkia kubakia Juu halafu Unidanganye kuna Watu ( Majeruhi ) Wameokolewa? Endeleeni tu kutufanya Mipan'gang'a ( Wapumbavu ) sawa?
Hata mimi nimejiuliza maswali. 26 wamewaokoa kiaje yaani ?Hata kavideo hakuna jamani. Wabongo kabisa ikosekane video?Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?
Mpaka sasa umeshaokoa Majeruhi wangapi?B
Bahati mbaya Sina historia humu ya kuvunjia watu heshima,naheshimu Kila wazo la mwanamember hapa jf
Ndani ya ndege kuna watumishi maalumu kwa ajili ya kutoa msaada kama janga likitokea! Wanafahamu milango ya dharula ilipo!Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?
Sijui ni kwanini Mamlaka za Tanzania na Watawala wanapenda mno kutufanya Watanzania wote tupatao 61,741,120 ni Mipan'gang'a / Mipumbavu daima.Hata mimi nimejiuliza maswali. 26 wamewaokoa kiaje yaani ?Hata kavideo hakuna jamani. Wabongo kabisa ikosekane video?
Duh! MV Bukoba ikawa shida, ndege nayo inakuwa shida , basi angalau daraja la busisi liwe mkombozi wetu
Labda ilikuwa mara yake ya kwanza kupanda ndege au kukutana turbulence.Sawa umepatia, unafikiri mashirika ya ndege USA na ulaya Kwa ujumla ndege zao zikifika eneo kama hilo abiria wana experience hali tofauti na kuwa comfortable!?, Hata ndege ziwe mpya vipi turbulence haiepukiki na mabadiliko ya hali ya hewa na maeneo yote yenye milima huwa yanazingua ndege, mpaka Sasa hakuna ushahidi wa ajali za ndege kuonekana nyingi Africa kwasababu yeyote, uwiano upo sawa mabara yote. Sema post yako Ili base kukandia ndege za bomberdier alizoagiza JPM na Kwa kukukosoa zote zilitoka Canada zikiwa mpya kabisa. Chuki na kudharau vya nyumbani vinatufanya tuongee tusiyoyajua, sikulaumu.
Hiyo Milango ya Dharula huwa inafunguliwa na hao Cabin Crew Ndege yote Kasoro Mkia tu ikiwa imezama Majini tena katika Kina kama iliyopo?Ndani ya ndege kuna watumishi maalumu kwa ajili ya kutoa msaada kama janga likitokea! Wanafahamu milango ya dharula ilipo!