Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Aanh

Ni hatari sana kupanda usafiri wa meli na ndege kwa hizi nchi zinazoitwa 3rd countries

Mika 5 nyuma nakumbuka natoka dar naenda mbeya na hizi ndege za mtumba alizotuletea anko magu
Maeneo ya iringa pale kitonga, ndege linayumba kwa sababu ya kani ya mvutano

Nilisali salamu maria mara 1, baba yetu mara 2
Na nikapiga Alu akbar kama 5 hivi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Habari za kusikitisha sana! Ila tumshukuru Mungu kwa kuwa ndege imeangukia majini badala ya kuangukia nchi kavu!! Ingeangukia nchi kavu ingeungua na hakuna hata mmoja ambaye angepona. Lakini hadi sasa inasemekana watu 26 wameokolewa na jitihada bado zinafanywa ili kuokoa wengi zaidi!! Tuendelee kumwomba Mungu!!

 
Nimeumia Sana kiukweli ndugu zangu na rafiki kupata Ajari

Pia tusiendelee kupiga ramli tutulie Muda ukifika kila mmoja lazima atapata taarifa kamili na wengi mnataka kusikia kuwa wamekufa wangapi Kama ilivyo kawaida yenu basi ENDELEENI kusubiri mamlaka kamili na ndugu wa wahanga.
 
Kuna mtu alitabiri juzi hapa kuwa ndege itaanguka tena hapa jamii forums....

Yule jamaa ni mchawi
 
Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?
Hata mimi nimejiuliza maswali. 26 wamewaokoa kiaje yaani ?Hata kavideo hakuna jamani. Wabongo kabisa ikosekane video?
 
Just imagine imezama saa mbili ,halafu almost 87 percent ndani ya maji,how is possible mtu achomoke hapo,wamefunguaje ule mlango hao wavuvi,na wameanza kuokoa muda gani baada ya impact?TBC,ITV Na nyingine zote zipo kimya why?
Ndani ya ndege kuna watumishi maalumu kwa ajili ya kutoa msaada kama janga likitokea! Wanafahamu milango ya dharula ilipo!
 
Kama Taifa tuendelee kujifunza kuandaa mazingira bora ya kukabiliana na majanga. Hii ajali kwa mataifa yaliyoendelea wangeokolewa abiria wote ila kwetu, Mungu asimamie.
 
Sawa umepatia, unafikiri mashirika ya ndege USA na ulaya Kwa ujumla ndege zao zikifika eneo kama hilo abiria wana experience hali tofauti na kuwa comfortable!?, Hata ndege ziwe mpya vipi turbulence haiepukiki na mabadiliko ya hali ya hewa na maeneo yote yenye milima huwa yanazingua ndege, mpaka Sasa hakuna ushahidi wa ajali za ndege kuonekana nyingi Africa kwasababu yeyote, uwiano upo sawa mabara yote. Sema post yako Ili base kukandia ndege za bomberdier alizoagiza JPM na Kwa kukukosoa zote zilitoka Canada zikiwa mpya kabisa. Chuki na kudharau vya nyumbani vinatufanya tuongee tusiyoyajua, sikulaumu.
Labda ilikuwa mara yake ya kwanza kupanda ndege au kukutana turbulence.

Unaweza kutana na kubwa sana kama vile mko Barabara ya mashimo na hizo zipo nyingi sana kama una safiri kuelekea West Africa huko
 
Ndani ya ndege kuna watumishi maalumu kwa ajili ya kutoa msaada kama janga likitokea! Wanafahamu milango ya dharula ilipo!
Hiyo Milango ya Dharula huwa inafunguliwa na hao Cabin Crew Ndege yote Kasoro Mkia tu ikiwa imezama Majini tena katika Kina kama iliyopo?

Hivi una Akili kweli Wewe au unataka tu Kutuchosha hapa Watu wenye Akili nyingi kutuzidi mpaka zingine tunafikiria Kuzipunguza?
 
Back
Top Bottom