Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Kuna huwezekano hakuna aliyopona haiwezekani kwenye ndege kulikua na watu 43 waliookolewa 26 waliokufa 19 mbona hesabu zinagoma?
 
Ule uzi kwasasa unafwatiliwa na watu wa usalama wa timu ya tiss aviation wing na tiss terrorism protection wing kuwa makini.
Mkuu kweli tiss na watu wa avition waache kutafuta tatizo Ni nn had ndege kuanguka majini wao wako busy kumtafuta mtabiri blashit yaani .Kama. na wee upo ktk usalma unatafuta mtabiri bas hkn akili hutumiaa

Kwanza mtabiri last seen ni nov 3 had leo hi kimya yupo zake uko mashambani anapalilia mihogo yake
 
Wee sie wabongo tunajibu letu pendwa kwenye mambo yote..."mipango ya mungu"
 
Mtoto wa kachwamba Amefariki pamoja na jitihada zote za Baba yake kuivuta hiyo ndege na bulldozer lakini amekuta mwanae kipenzi Ameshafariki.

Nimeumia Sana
Kachwamba Ni Nani mkuu embu wake code was kidg

Ila all in all poleni familia yake na taifa kwa ujumla kwa msiba huu mkubwa kuwai kutokea kwenye maswla ya aviation
 
Kuna huwezekano hakuna aliyopona haiwezekani kwenye ndege kulikua na watu 43 waliookolewa 26 waliokufa 19 mbona hesabu zinagoma?

Taarifa ya ndege kuwa na abiria 43 inasemekana ni sahihi pia idadi ya waliookolewa kuwa 26 wanasema nayo ni sahihi...

Idadi ya wafu 19, wanahisi huenda kuna waokozi 2 waliojitolea wamefariki wakati wakizamia majini kuokoa abiria...
 
nimemsikiliza mama mmja nazani ni kiongozi anadai haikua ajali bali lilikua zoezi la kutekeleza uokoaji, akiwa na maana ilikua planned accedent ili kujipima na uokozi katika majanga dizain hiyo[emoji849].. nimesikitika sana
Hiyo video unayosema ni ya muda mrefu Sana mkuu, mpaka muda huu Bado unaendelea kupotezwa na miruzi mingi tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
@Mlolongo alitaka kunitoa kwenye reli eti kuwa Ni ajali zoezi

Jamaa sijui ametoa wapi hyo elimu ya namna hyo ya kupima utayari kwa kuzamisha ndege kwenye ziwa Victoria Tena ndege binafis ikiwa na watu mle ndani bladfakeni
Mlolongo
 
Huyo Kachwamba nimemsikia mzee anamsema miaka kama 15 imepita. Kuna jambo alifanya kwenye mamlaka yake
Kachwamba mkubwa (Abubakar Kachwamba) ndio zile figure za akina Makamba, Mzindakaya, nk.
Huwa nashangaa wahaya wanailaumu serikali kuwatelekeza huku hawawasemi akina Muhazi, Kachwamba, nk amabo walifuja Mali za walalaho na kujineemesha hadi wajukuu zao hawawasemi ....kwasababu ya msiba mkubwa wa kizembe ngoja niishie hapa ila Kuna siku nitaweka Uzi hapa wa wahuni wote wa Kagera waliojificha kwenye koti la CCM!
 
PW hupata taarifa toka kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama
 
Huyo aliyepewa ubunge wa EA na kumuacha @paschalmayalla.
Familia ya Mzee Kachwamba ukoo wa panya walikula KCU hadi kubaki mifupa na bado wanae na wajukuu wanazawadiwa vyeo huko CCM...smahani wakuu nimekuwa too emotional na kusahau "msiba"
Dah haya pole kwa familia ila tusiwe too much emotional kwenye hili embu uchunguzi ufamyikee mnk hz za serekali sijui Hali zake ziko vip
 
Dah ile ya jana polisi nilishangaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…