hata me pia ni mzazi na nina machungu nmesema katoto sio kwa ubaya wala dharau ni kutogodisha kwa sabb bado kalikua kadogoAcha dharau boss hapa tunaangalia nafsi hai! Unaposema katoto kamoja maana yake nini?
Kuna huwezekano hakuna aliyopona haiwezekani kwenye ndege kulikua na watu 43 waliookolewa 26 waliokufa 19 mbona hesabu zinagoma?Watu 19 wamethibitika kufariki dunia katika ajali ya ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Precision, iliyotokea mapema hii leo mkoani Kagera.
Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Dar es kwenda Bukoba mkoani Kagera, na ilipata ajali hiyo ikiwa na watu 43 ndani.
Ajali hiyo imetokea katika ziwa Victoria, takribani mita 100 kabla ya ndege hiyo kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba.
Latra. Zamani Sumatra.Ntsb...national transportation safety board ya bongo inaitwaje?
Mkuu kweli tiss na watu wa avition waache kutafuta tatizo Ni nn had ndege kuanguka majini wao wako busy kumtafuta mtabiri blashit yaani .Kama. na wee upo ktk usalma unatafuta mtabiri bas hkn akili hutumiaaUle uzi kwasasa unafwatiliwa na watu wa usalama wa timu ya tiss aviation wing na tiss terrorism protection wing kuwa makini.
Kachwamba alikuwa Mwalimu pale CBE 1990's baadae akahamia TRAHuyo Kachwamba nimemsikia mzee anamsema miaka kama 15 imepita. Kuna jambo alifanya kwenye mamlaka yake
Wee sie wabongo tunajibu letu pendwa kwenye mambo yote..."mipango ya mungu"Precision air Waka matwe Kwa kutoa taarifa za uongo , watu 26 wame okolewa kupitia wpi? watu wako hapo , boat zime zingila ndege na hatuoni watu wakitolewa ndani ya ndege, ni ujinga gani kutangazia mme okoa watu 26 bila kuonyesha ni mahali walikopitia, na kudanganya eti Kuna watu wamebaki , ukweli ni kuwa hakuna kilicho okolewa.
Serikali Ina wajibika moja Kwa uzembe mkubwa, uliona wapi ndege Ina vutwa na kamba za katani au small boats kama hizo toka asubuhi? Kwakua ndege ipo sehemu ambayo haiwezi zama na hatuna vifaa vizito kama cranes/ tinga tinga za kuvuta au kunyanyua basi tutoboe kama safety procedure zitaruhusu kuokoa abiria.
Siku zote watu wenye mawazo duni hujiwazia wenyewe ndo maana utakutana na halmashauri ina mkurugenzi anaendesha V8 milioni 400 ila zahanati haina dawa na watoto madarasani wakaa chini!Inaudhi sana... Alafu Kila kiongozi wa serikali anamiliki V8 ya mamilioni!!
Kachwamba Ni Nani mkuu embu wake code was kidgMtoto wa kachwamba Amefariki pamoja na jitihada zote za Baba yake kuivuta hiyo ndege na bulldozer lakini amekuta mwanae kipenzi Ameshafariki.
Nimeumia Sana
Nadhani hicho kitengo kitakuwa ndani ya T.A.ANtsb...national transportation safety board ya bongo inaitwaje?
Kuna huwezekano hakuna aliyopona haiwezekani kwenye ndege kulikua na watu 43 waliookolewa 26 waliokufa 19 mbona hesabu zinagoma?
Hiyo video unayosema ni ya muda mrefu Sana mkuu, mpaka muda huu Bado unaendelea kupotezwa na miruzi mingi tunimemsikiliza mama mmja nazani ni kiongozi anadai haikua ajali bali lilikua zoezi la kutekeleza uokoaji, akiwa na maana ilikua planned accedent ili kujipima na uokozi katika majanga dizain hiyo[emoji849].. nimesikitika sana
@Mlolongo alitaka kunitoa kwenye reli eti kuwa Ni ajali zoeziHii ni Ajali- Disaster.. zoezi la Testing.. Full Testing ni nadra kulifanya... huwezi ku involve Passengers... most of ISO zina care Human safety... kuliko kitu chochote.. yale mazoezi ya moto ni tofauti na hii ajali...
Wangeweza kufanya
1. Walk through testing...
2. Preparedness testing...
Sio hii....
Kachwamba mkubwa (Abubakar Kachwamba) ndio zile figure za akina Makamba, Mzindakaya, nk.Huyo Kachwamba nimemsikia mzee anamsema miaka kama 15 imepita. Kuna jambo alifanya kwenye mamlaka yake
PW hupata taarifa toka kwa Kamati ya Ulinzi na UsalamaPrecision air Waka matwe Kwa kutoa taarifa za uongo , watu 26 wame okolewa kupitia wpi? watu wako hapo , boat zime zingila ndege na hatuoni watu wakitolewa ndani ya ndege, ni ujinga gani kutangazia mme okoa watu 26 bila kuonyesha ni mahali walikopitia, na kudanganya eti Kuna watu wamebaki , ukweli ni kuwa hakuna kilicho okolewa.
Serikali Ina wajibika moja Kwa uzembe mkubwa, uliona wapi ndege Ina vutwa na kamba za katani au small boats kama hizo toka asubuhi? Kwakua ndege ipo sehemu ambayo haiwezi zama na hatuna vifaa vizito kama cranes/ tinga tinga za kuvuta au kunyanyua basi tutoboe kama safety procedure zitaruhusu kuokoa abiria.
Inatia huruma sanaNina mashaka sana
Au wanavuta wakijua maiti tu ndio zimo humo kama mdau hapo juu anavyowaza
Maana yake Rubani hajapatikana hadi muda huu
Dah haya pole kwa familia ila tusiwe too much emotional kwenye hili embu uchunguzi ufamyikee mnk hz za serekali sijui Hali zake ziko vipHuyo aliyepewa ubunge wa EA na kumuacha @paschalmayalla.
Familia ya Mzee Kachwamba ukoo wa panya walikula KCU hadi kubaki mifupa na bado wanae na wajukuu wanazawadiwa vyeo huko CCM...smahani wakuu nimekuwa too emotional na kusahau "msiba"
Dah ile ya jana polisi nilishangaa sanaJana niliona kwenye taarifa ya habari kamanda wa Polisi akipokea "kitendea kazi" kwa ajili ya kufanya doria kwenye barabara kuu ya mkoa wa Pwani ili kuzuia ajali za barabarani, unajua ni kifaa gani alikuwa anazindua tena kwa kukata utepe ....GARI AINA YA TOYOTA PROBOX mtumba hadi taa zimeishafifia uke ungavu wake. Wanachi kuvuta ndege kwa kamba kama kokolo la sangara haishangazi sana. Tunakopa kununua V8. Pumbavu sana!