Precision air Waka matwe Kwa kutoa taarifa za uongo , watu 26 wame okolewa kupitia wpi? watu wako hapo , boat zime zingila ndege na hatuoni watu wakitolewa ndani ya ndege, ni ujinga gani kutangazia mme okoa watu 26 bila kuonyesha ni mahali walikopitia, na kudanganya eti Kuna watu wamebaki , ukweli ni kuwa hakuna kilicho okolewa.
Serikali Ina wajibika moja Kwa uzembe mkubwa, uliona wapi ndege Ina vutwa na kamba za katani au small boats kama hizo toka asubuhi? Kwakua ndege ipo sehemu ambayo haiwezi zama na hatuna vifaa vizito kama cranes/ tinga tinga za kuvuta au kunyanyua basi tutoboe kama safety procedure zitaruhusu kuokoa abiria.