abiria 39 wahudumu 2 mapairot 2 jumla 43Precision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria..
Hopefully kuna siku tutaiona ripoti ya uchunguzi wa hii ajali kule kwa wale wadau wa aircraft investigation kama tulivyoiona ile ya KQ ilotokea miaka ile kule nchini KameruniHii ajali kama ni pilot error ndo imeisha hiyo maskini mana na pilot mwenyewe kafariki hakuna kesi ila kama ni shida ya ndege basi byebye precision airways...
Wao mambo yao yamenyooka hawana longolongo !!Wee mambo yetu kweli tunayo fanya unadhani nyani wana huo ujinga.
Hivi kweli ata wangeleta bulldozer au trekta 2 wakafunga mnyororo waivute ingeshindwa kutoka?!...au ilitakiwa iwe kama ilivyokua!?Ndio ila pambana Sasa tuone,au timiza wajibu wako, tuseme kweli ilishindikana KWa mapenzi ya Mungu , mwinngine msimtwishe Mungu , bali ni uzembe ndo maana Mungu akaumba mwanadam KWa mfano wake , leo watu wanavutaje lindege wakati zana za kuvutia zipio, nayo tumlaum Mungu ebo
How i wish tuioneHopefully kuna siku tutaiona ripoti ya uchunguzi wa hii ajali kule kwa wale wadau wa aircraft investigation kama tulivyoiona ile ya KQ ilotokea miaka ile kule nchini Kameruni
Unaweza kuta kuna zaidi!Shida ni hali ya hewa
Ziwa victoria na tanganyika wapo kibaoMamba anakaa ziwani?
Andika mkuu kwa faida ya wengi.Nioishajisemea tanzania siwezi kupanda ndege labda iwe kwa lazima sana.
Nilichokuwa najisikia nipandapo ndege za masafa marefu siwezi kukiandika hapa.
Itakuwa kuna waokoaji wamefia ndani ya ndegeabiria 39 wahudumu 2 mapairot 2 jumla 43
waliookolewa 26 walio kufa 19 jumla ya idadi yoteni watu 45
swali: 45 - 43 = 02.
hawa wawili ni kina nani?
Yaani hapo ata wangetumia V8s za RC,RAS, DC na DED ndege ingetoka tuu but ata kujaribu NO...kwakeli sometimes waweza kujiuliza hii nchi tumelogwa au ni nini...Jeshi Wana Yale matanker nayo wameshindwa kutumia...ila siku ya muungano au Uhuru utayaona kwenye maonesho uwanja wa Taifa...we are showing our weakness kwenye vitu vidogo sana..Mama Tanzania inasikitisha sana.Mkuu, sijui ni macho yangu yananidanganya nimeona kwenye instagram wakazi wa manispaa ya Bukoba walivuta ndege kwa kamba wakiwa na lengo la kuikwamua majini sijui!! Yaani mafundi/mainjina wa mkoa hata ubunifu hawana kabisa au ndio "AKAJALAMUKO" yaani hata kufikiria kwamba waleta four wheel drive heavy duty trucks au tractors zifungwe in tandem watafute chain au kamba ndefu ifungwe kwenye ndege ili ifutwe kirahisi na kwa haraka - madam President wewe ni mwelewa wa mambo hata ya kiufundi ukifafanuliwa vizuri na watu weledi na wabunifu - hivi Mh. Rais inaingia akilini kwamba situation kama hii unaweza kweli ukategemea Manpower (wanavuta kwa kamba -ooh,ooh,vuteni,vuteni!!) kuliko Horse Power (Mashines ie magari/tractor) kuvuta ndege kutoka majini in no time - Watanzania tukoje lakini??
Ndege huwa hazipati ajali mara kwa mara lakini huwa ikitokea ajali kupona ni nadra sana.Andika mkuu kwa faida ya wengi.
hamkosi sababuItakuwa kuna waokoaji wamefia ndani ya ndege
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanajua kupiga wananchi tu.
Nguvu kazi waliona ndo tegeo lao.Hivi kweli ata wangeleta bulldozer au trekta 2 wakafunga mnyororo waivute ingeshindwa kutoka?!...au ilitakiwa iwe kama ilivyokua!?