Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sasa askari wa kawaida hawezi jua kuogelea unataka azame aokolewe na yeye🤣
Hata mikono ya kushika kamba hawana? 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa askari wa kawaida hawezi jua kuogelea unataka azame aokolewe na yeye🤣
Yan hapo ni sawa uone watu wamevaa makoti meupe ukadhania ni madaktari kumbe wafanyakazi wa bucha🤣🤣Hata mikono ya kushika kamba hawana? 😁
Yaani hizi familia zifungue tu kesi. Hawa walipe mabilion ndo wajifunze.
Ni katika waokoajiabiria 39 wahudumu 2 mapairot 2 jumla 43
waliookolewa 26 walio kufa 19 jumla ya idadi yoteni watu 45
swali: 45 - 43 = 02.
hawa wawili ni kina nani?
Lakini yeye alitabiri Kampuni ya Ndege yenye Nembo ya Rangi Nyekundu.Utabiri wa yule jamaa umetimia mwenye uzi wake alete hapa aseee
Kwa hiyo KQ wakirudi angani wanaweza kukisababishaLakini yeye alitabiri Kampuni ya Ndege yenye Nembo ya Rangi Nyekundu.
Tuko nje ya nchi, tunatafuta pesa Kwa ajili ya uchaguzi 2025Mkuu, sijui ni macho yangu yananidanganya nimeona kwenye instagram wakazi wa manispaa ya Bukoba walivuta ndege kwa kamba wakiwa na lengo la kuikwamua majini sijui!! Yaani mafundi/mainjina wa mkoa hata ubunifu hawana kabisa au ndio "AKAJALAMUKO" yaani hata kufikiria kwamba waleta four wheel drive heavy duty trucks au tractors zifungwe in tandem watafute chain au kamba ndefu ifungwe kwenye ndege ili ifutwe kirahisi na kwa haraka - madam President wewe ni mwelewa wa mambo hata ya kiufundi ukifafanuliwa vizuri na watu weledi na wabunifu - hivi Mh. Rais inaingia akilini kwamba situation kama hii unaweza kweli ukategemea Manpower (wanavuta kwa kamba -ooh,ooh,vuteni,vuteni!!) kuliko Horse Power (Mashines ie magari/tractor) kuvuta ndege kutoka majini in no time - Watanzania tukoje lakini??
Kwani shirika la ndege ni MOJA? au wafikili likitokea katika MOJA ya jiji lingine unatembelea ndani ya tz Basi kutakua na utofauti?Katika majiji ambayo nilipanga niende ku frahia na familia ni mwanza. Kwa ajali hii hata Watoto wamekata kupanda ndege
Vitu vingine sio kama ufikiriavyoHivi kweli ata wangeleta bulldozer au trekta 2 wakafunga mnyororo waivute ingeshindwa kutoka?!...au ilitakiwa iwe kama ilivyokua!?
Byabato yupi? Huyu wa itv au mwingine?Nimesikia fidia ya wahanga ni 120000$ . R. I.P Byabato
MwingineByabato yupi? Huyu wa itv au mwingine?
Yule mtangazi wa ITV au nani?Nimesikia fidia ya wahanga ni 120000$ . R. I.P Byabato
SomeoneYule mtangazi wa ITV au nani?
Au ndugu wa mbunge wa hapo Bukoba?
Wewe jinga sana na wanaokuamini akiwemo huyo MATATA!Katika majiji ambayo nilipanga niende ku frahia na familia ni mwanza. Kwa ajali hii hata Watoto wamekata kupanda ndege.
Flaviana matata aliapa kutokula samaki Kwa sabab mamaake alifia ziwani
Binafsi ok imeniuma sana.
Flaviana kama unanisikia hata wanangu wamekuhurumia Sana na naomba kupitia pm tuwasiliane wanataka wakupe pole Kwa mama mpendwa. Na wao wanahistoria kusafiri.
Jamaa I love u
Daah hii imeniongezea woga wa kupaa.Ee Mwenyez Mungu,okoa watu wako
We mnduku nimekuuliza wewe hili swali? Na hata kama ningekuuliza huwezi kujibu bila kutukana?Ficha upumbavu wako, kama hujui kitu tulia kimya acha kujiaibisha. Wewe unadhani kwa akili yako mamba wanaishi wapi? Kwenye madimbwi sivyo?
Wahaya utawajua tuKatika majiji ambayo nilipanga niende ku frahia na familia ni mwanza. Kwa ajali hii hata Watoto wamekata kupanda ndege.
Flaviana matata aliapa kutokula samaki Kwa sabab mamaake alifia ziwani
Binafsi ok imeniuma sana.
Flaviana kama unanisikia hata wanangu wamekuhurumia Sana na naomba kupitia pm tuwasiliane wanataka wakupe pole Kwa mama mpendwa. Na wao wanahistoria kusafiri.
Jamaa I love u