witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Sante mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sante mkuu
una uhakika walikuwa na mafuta ya kuwarudisha hadi Mwanza?
Tiwi nzipeki ngucha shahirafunimeu nasa🤣We mnduku nimekuuliza wewe hili swali? Na hata kama ningekuuliza huwezi kujibu bila kutukana?
Mav.i kabisa[emoji57][emoji57]
Nchi imepigwa nusu kaputi. Vikosi vya uokoaji vimefika eneo la tukio vikiwa mikono mitupu
Wana wezesha jeshi la polisi kwa sababu polisi wanawasaidia kwenye mambo yao ya kisiasa, hao wengine ni dana dana tu!Kikosi cha zima moto na uokoaji , kinatakiwa kutafakari katika haya hivi karibuni moto uliwaka kule mlina Kilimanjaro lakini jitihada za kuuzima moto zilikuwa siyo effective sana ikichangizwa na vifaa vilivyokuwa vikitumika, leo tena Ndege imedondoka lakini pia tumeendelea kushuhudia bado kikosi hiki hakijajipanga kisawasawa kukabiliana na matukio ya dharula katika maeneo tofauti tofauti. Serikali ione umuhimu wa kukiwezesha kikosi hiki ili kifanye wajibu wake kisheria kikamilifu... Roho za watu hazina spare...Mlima Kilimanjaro unaiingiza serikali fedha nyingii sanaaa. Basi upewe kipaumbele maalumu.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Byabato ni nani ?Nimesikia fidia ya wahanga ni 120000$ . R. I.P Byabato
Kuna huyo mwingine hapo mwenye suti nyeusi sijui ni nani! Eti amekuja kabisa na mwamvuli!! Hii nchi ina vituko sana.Kichwa Cha habari kinajieleza na picha ipo chini.View attachment 2408708
Sawa, Lakini kuanzia leo mambo yao mengi ya sirini yataibuliwa. Udhamini na kuaminika kwao sasa vitapita kwenye tanuru la moto.Ndege zina BIMA
Imenifikirisha pia😪Watu 26 wame okolewaje? , Wamepitia sehemu gani ambapo waliobaki hawawezi kupita?
Hii nchi ni aibu sana , Ina maana hatuna vitu vizito vya kuvuta hii kitu toka asubuhi saa mbili asubuhi? Crane/tinga tinga/ tunge approach kampuni za ujenzi wa Chinese waje watu saidie kuvuta.
Victoire hongera ndugu yangu, umekua na huu uzi tokea mwanzo wake mpaka sasa na michango yako yote ni positive [emoji122][emoji122]Byabato ni nani ?
Watu 26 wame okolewaje? , Wamepitia sehemu gani ambapo waliobaki hawawezi kupita?
Hii nchi ni aibu sana , Ina maana hatuna vitu vizito vya kuvuta hii kitu toka asubuhi saa mbili asubuhi? Crane/tinga tinga/ tunge approach kampuni za ujenzi wa Chinese waje watu saidie kuvuta.
Mafuta ya reserve huenda alikuwa hana na akajua kurudi MZA hatoboi! Akaona bora aitupe majini tuHii imefungua macho kua:
- Maji yaliingia ndani kuanzia mbele likely impact ya kujikita kwenye tope ilitoboa mbele.
- At first waliokaa nyuma Walijiokoa wenyewe na walipotoka nje hakukua na vifaa vya kueleweka (see mtumbwi usio na engine).
- Hali ya hewa ilisababisha yote
- Je baada ya rubani kuona kashindwa kutua mara ya pili why hakupeleka ndege mwanza as promised? Je mafuta aliyokua nayo yalikua yanaweza ifikisha ndege Mwanza?
- Je Iliserereka mpaka ziwani au aliona afanye emergence landing since no way out?
Hii ni analysis ndogo based on maneno ya huyo abiria?
Poleni sana mliofikwa na mtihani
Kichwa Cha habari kinajieleza na picha ipo chini.View attachment 2408708
Lazima yalikuwepo..Mwanza to Dar angerudije?una uhakika walikuwa na mafuta ya kuwarudisha hadi Mwanza?