Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Kwahiyo Rubani Mzoefu Kazamisha Ndege au? Halafu naomba kujua inawezekana vipi Ndege kama hiyo ikwa imeanguka na Kuzimika kabisa hata kwa Mitambo yake halafu Marubani wake bado wawe na access ya Mawasiliano na Mkuu wa Mkoa Samjo Samjo ( Msanii ) kama Albert Chalamila na Wengineo?
Huenda alihisi itaanguka akadump mafuta yote
 
Katika mazingira ya ajali kama hiyo, Mungu huwajalia watu ujasiri na uthubutu wa hali ya juu!! Amini usiamini milango ya dharula ilifunguliwa na kwa taarifa zilizopo takriban watu 26 wameshaokolewa na kupelekwa hospitali ya mkoa-Bukoba!
43-26=17
Watu 17 wako wapi Muda huu?
 
Wavuvi tupo tunafanya uokoaji wa kisasa tumeifungwa kamba kwenye ile bawa yake ya kushoto tunaivuta kama vile tunavuta mtego wa samaki, wale wanajeshi tunaoonyeshwa kwenye 9 Dec kuwa ni wanamaji wapo wanaogopa kuloanisha unform

ila tunaishukuru serekali ya mama samia ndege haikuangika kina kirefu cha mbali
 
Rubani wa ndege ya Precicion Air iliyopata ajali ziwa Victoria leo, Kapteni Buruhani Rubaga (pichani) ni mzoefu katika sekta ya anga kwa miaka 20, huku msaidizi wake, akijulikana kama First Officer Peter Omondi.

Mkuu wa mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amesema kuwa mawasiliano kati ya marubani walio ndani ya ndege na mamlaka yanaendelea.

Ndege hiyo namba PW 494, ina miaka 12 tu kazini; kwa wanaofuatilia mambo ya ndege na teknolojia ya anga, ndege hiyo bado ni mpya na kama mamlaka zilivyosema kuwa hali ya hewa ndiyo iliyosababisha ajali hiyo, naungana nao.

Waliowahi kusafiri na ndege hiyo wanaisifu kwa huduma nzuri na umahiri wa marubani.

Ndege hiyo ilikuwa inatokea Dar es Salaam kuelekea Bukoba.

Taarifa zaidi zitatolewa na mamlaka husika.
#precisionair
View attachment 2408407
vipi rubani kapatikan au bado
 
Ndege hiyo namba PW 494, ina miaka 12 tu kazini; kwa wanaofuatilia mambo ya ndege na teknolojia ya anga, ndege hiyo bado ni mpya na kama mamlaka zilivyosema kuwa hali ya hewa ndiyo iliyosababisha ajali hiyo, naungana nao.

Waliowahi kusafiri na ndege hiyo wanaisifu kwa huduma nzuri na umahiri wa marubani.
Blabla
 
Kwahyo watu waliposali ndege ikabadirika rangi kutoka nyekundu mpaka kijani, ikaamua iangukie na majini ambapo ndiyo hatari zaidi?
Kweli maombi yana nguvu sana
Nadhani walikujibu vizuri waliozungumzia errors zinazoweza kutokea wkt nafsi(akili) ya mtabiri inapotafsiri kitu cha kiroho.Changanya maelezo connect dots.
 
Anao anaowachapia na yeye sema ni mbwa alikula mbwa
Hata kama anao lakini yeye kachapiwa hadi mke akazalishwa. Unajua najiuliza masanja anavyopenda kuposti posti mapicha ya waifu hajawahi kuposti picha akiwa na madogo hata kuwasifia tu.
 
Katika mazingira ya ajali kama hiyo, Mungu huwajalia watu ujasiri na uthubutu wa hali ya juu!! Amini usiamini milango ya dharula ilifunguliwa na kwa taarifa zilizopo takriban watu 26 wameshaokolewa na kupelekwa hospitali ya mkoa-Bukoba!
Hiyo Milango iliyowatoa hao Abiria wako 26 ilifunguka Kimiujiza hivyo Ndege ikiwa inaanza Kupepesuka Angani au ilipodumbukia mazima hivyo ndani ya Maji ( Ziwa ) na Kutuachia Mkia wake tujue ilipozamia?
 
Kwahiyo Rubani Mzoefu Kazamisha Ndege au? Halafu naomba kujua inawezekana vipi Ndege kama hiyo ikwa imeanguka na Kuzimika kabisa hata kwa Mitambo yake halafu Marubani wake bado wawe na access ya Mawasiliano na Mkuu wa Mkoa Samjo Samjo ( Msanii ) kama Albert Chalamila na Wengineo?

Wanatumia simu za kawaida mzee baba, ndege ipo karibu tu na ufukwe wa ziwa...
 
Back
Top Bottom