Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

Hapana!!! Mimi siyo wala sikuwahi kuwa mshabiki wa JPM lakini kwenye hili ninamtetea!!. Tena nakumbuka taarifa ya habari inasomwa na Betty Chalamila saa 2 usiku akatoa angalizo kuwa picha zitakazofuata ni mbaya. I still have in my mind picha za watu watoto kwa wakubwa walivyobanwa kwenye mabehewa!!. Hapana hawakuficha idadi ya waliofariki sababu hata memorial yao ipo Dodoma sehemu walipozikwa wale walioshindwa kutambulika
Betty Chalamila?
 
Sasa HV ndio CMG eti ndio wanaleta breaking news yao wakt jf inesharipot tukio hili muda mchache tu baada ya tukio kutokee

Kuna saa nilipost ndege ya precious ule mkia ukiwa unaonekana haujazama wote jamaa mmoja akanitext kuniuliza leo unaenda kupanda ndege nni Hapo Hapo nikatoka kufuta ile stutus nikasema nchi hi inawajinga wengi sanaa sijamjibu had sas nikamekausha
Mm naona mjinga ni wewe uliepost kutaka onekana uko na wakati
 
iko kwenye maji mzee, two hellicopters za kawaida kabisa zikifanya tandemn lifting na kuipull nchi kavu inawezekana kabisa...

tunazungumzia slight lift na pull, unaona hapo huo mtumbwi wa wavuvi unachofanya kuivuta maana tayari ni boyancy hiyo inaelea na kuivuta ni simple.

Kama mtu floatation inampinga chenga hawezi kuelewa. Kwa kifupi maji yanasaidia kuinyanyua ndege inakua nyepesi. Inavutika kirahisi
 
Kassim Majaliwa ndo anakuja Bukoba Muda huu

anaenda kufanya nini?.
kilichotakiwa kufanyika ni uokozi wa watu waliokuwa kwenye ndege 100m kutoka nchi kavu kwa haraka na kunusuru maisha yao.

Kifuatacho ni blahblah zisizo na maana yeyote na kuendelea kutumia bure hela za walipa kodi huku mambo madogo madogo hatuwezi kufanya.
 
Back
Top Bottom