Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
AiseeeWw ndio mpuuzi kabisa anawezaje kufanya ziara zisizo kuwa productive kwa wananchi.... wananchi wanufaikaje na huo msikiti kutatua changamoto zao?
Watasema Udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeWw ndio mpuuzi kabisa anawezaje kufanya ziara zisizo kuwa productive kwa wananchi.... wananchi wanufaikaje na huo msikiti kutatua changamoto zao?
Mkuu umenena kweliTaasisi za kiislamu sasa zingejitahidi pamoja na kuomba misaada ya kuomba kujengewa nyumba za ibada wangeomba na misaada kwa ajili ya kuanzisha miradi mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia waumini wao kiuchumi misikiti ipo mingi sana
Wangeomba hata kituo cha afyaTaasisi za kiislamu sasa zingejitahidi pamoja na kuomba misaada ya kuomba kujengewa nyumba za ibada wangeomba na misaada kwa ajili ya kuanzisha miradi mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia waumini wao kiuchumi misikiti ipo mingi sana
Amefungua miradi ya maji mbonaSasa kama hana kazi za kufanya afanye nini? jana kashinda Kagera sugar kama vile ni Meneja wa pale, ukiona hivyo mpk J4 atakuwa Ulaya hizo ni zuga
AstaghafirulahKwanza uislamu haruhusiwi kuwa kiongozi wa wanaume, wememistahi tu lkn nadhani moyoni walipiga astaghfla milioni kidogo
Kwani Sugu ilikuwaje?Hebu mchukue na wewe umtumie tuone.
Ww ndio mpuuzi kabisa anawezaje kufanya ziara zisizo kuwa productive kwa wananchi.... wananchi wanufaikaje na huo msikiti kutatua changamoto zao?
Ngoja ninyamazeKwani msikiti sio mradi wa maendeleo?