mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.
Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.
Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
Sasa hadi bintiye akaolewa na Zitto Kabwe kuna akili hapo?
Ukoo wa panya MkuuMgambo wanaruka na kukanyagana
Mmemfungulia mashtaka au ni majungu tuu?Bulembo ana elimu gani ya kutaka mdaharo mtu mwenyewe ana kashifa ya kufuja mali za jumhiya ya wazazi
Walimlia pesa zake alipogombea udiwani kijitonyama na akashindwa na mtu wa kawaidaYaani Bulembo anasema anahela uliko Pole Pole anataka alipie ukumbi yeye! Yaani hawa wazee wa CCM wanafikiri vijana wote wanaakili kama Nape ni ujinga ujinga tu usio na kichwa wala miguu!
Hata msukuma kamzidiDarasa la 7 bila PhD!
Wewe na huyo Polepole aliyekutuma ndio mna udini na ujinga mkubwaHahahah mda mwingine akina Bulembo wanasumbuliwa na udini pamoja na ujinga! Yaani anajidai alikuwa anampenda Magufuli kwani kutembea na Magufuli kama kampeni maneja ndo kuwa naupendo nae? Yaani ukimsikiliza ndo utajua kiwango chake cha ujinga!
Hahahaaaa....... huyu Bulembo alikuwa kampeni meneja wa Magufuli 2015.
Akapewa ubunge yeye na mwanawe Halima.
Zitto Kabwe akaingilia kati akaoa yule bint!
Vipi muazimwe mgombea!Mgambo wanaruka na kukanyagana
Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5Vipi muazimwe mgombea!
Ila wote wamesimama, na wanarukiana kinyama....😂🤣Mgambo wanaruka na kukanyagana
Soon kuna mmoja watamkata kichwaIla wote wamesimama, na wanarukiana kinyama....😂🤣
2010 mliazimwa dk slaa 2015 miliazimwa Lowassa 2025 chagueni mpewe!Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 5
Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Uki moderate utekaji Kwenye Ofis zenu UVCCM floor ya 5 office no 11 private detention room ambayo mkitaka kuwadhuru watu mmawaambia polis kuondoa watu wao! Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu!
Mauaji na Unyanganyi wa Awamu ya 52010 mliazimwa dk slaa 2015 miliazimwa Lowassa 2025 chagueni mpewe!
Alisema kwamba hatoki, labda wamchomelee dirishani....teh😂🤣Soon kuna mmoja watamkata kichwa