Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

hiyo ndio dawa ya ma ccm...yanatuibia kura sie tunawamimba watoto wao vichakani, kudadek!.
 
Tudimu attack tu binti Bulembo . Zitto ni mtu anajimwambafy kuwa ni presidential material .Ofisi ile ni kama.mahala patakatifu mtu ukishafikia kushindwa limit ya kutunza P yako hadi kulala vichakani anything can happen ukipewa kurukaruka mahala patakatifu .moja kwa moja disqualified hata kama ni dini haihalalishi kulala kichakani na.binti za watu.
 
Tudimu attack tu binti Bulembo . Zitto ni mtu anajimwambafy kuwa ni presidential material .Ofisi ile ni kama.mahala patakatifu mtu ukishafikia kushindwa limit ya kutunza P yako hadi kulala vichakani anything can happen ukipewa kurukaruka mahala patakatifu .moja kwa moja disqualified hata kama ni dini haihalalishi kulala kichakani na.binti za watu.
We nawe unang'ang'ana na urais.
Hapa issue ni Halima akapike maharage kwa Zitto.
 
Hivi yule mwanae inamaana ndo amepigwa chini...lazima sababu itakua ni zitto
 
Huyu Zitto naye miyeyusho sana.. Yani pamoja na ujanja wake wote lakini anambandulia halima vichakani...!!
 
Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa @Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Zitto wapo wengi, ni Zitto yupi anazngumziwa hapa? Yule Mbunge mstaafu? Kiongozi wa Chama?
 
Back
Top Bottom