Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine kuna tatizo la uelewa wa mzeeJe democracy imetufikisha huko Kama taifa?
We nawe unang'ang'ana na urais.Tudimu attack tu binti Bulembo . Zitto ni mtu anajimwambafy kuwa ni presidential material .Ofisi ile ni kama.mahala patakatifu mtu ukishafikia kushindwa limit ya kutunza P yako hadi kulala vichakani anything can happen ukipewa kurukaruka mahala patakatifu .moja kwa moja disqualified hata kama ni dini haihalalishi kulala kichakani na.binti za watu.
alikua anatoa siri za chama kuna kipindi aliponea chupu chupu kupigwa chini ubungeHivi yule mwanae inamaana ndo amepigwa chini...lazima sababu itakua ni zitto
Zitto wapo wengi, ni Zitto yupi anazngumziwa hapa? Yule Mbunge mstaafu? Kiongozi wa Chama?Mbunge wa kuteuliwa mstaafu alhaj Bulembo amesema hana mkwe anayeitwa @Zitto na kwamba " wao" wanafanya starehe zao vichakani hivyo hawezi kuwa mkwe katika familia yake.
Anamnanga mwane jioni anamwita mwanangu mpendwaDuh..... Wazee wa kiswahili noma sana!
cc: Mzee Mgaya