Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Saaaalam Wana JF....nawasalimu kwa jina la TFF
Msimu huu wa Ligi Kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa Yanga ndio timu yenye wachezaji bora kuliko timu yeyote hapa Bongo...
Fact
Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia duniani kwa ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa Bongo....... Mfano wasemaji wa Simba, Mtibwa, Kagera. Dodoma Jiji, Prison, Namungo, Azam FC na zinginezo.......
Source ...... Professor Bumbuli
Afisa Habari wa YANGA
Je, unakubaliana na hili?
Msimu huu wa Ligi Kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa Yanga ndio timu yenye wachezaji bora kuliko timu yeyote hapa Bongo...
Fact
Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia duniani kwa ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa Bongo....... Mfano wasemaji wa Simba, Mtibwa, Kagera. Dodoma Jiji, Prison, Namungo, Azam FC na zinginezo.......
Source ...... Professor Bumbuli
Afisa Habari wa YANGA
Je, unakubaliana na hili?