Bumbuli: Ng'ombe wa Mayele ni maarufu kuliko wasemaji wa timu nyingine za Ligi Kuu

Bumbuli: Ng'ombe wa Mayele ni maarufu kuliko wasemaji wa timu nyingine za Ligi Kuu

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Saaaalam Wana JF....nawasalimu kwa jina la TFF

Msimu huu wa Ligi Kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa Yanga ndio timu yenye wachezaji bora kuliko timu yeyote hapa Bongo...

Fact
Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia duniani kwa ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa Bongo....... Mfano wasemaji wa Simba, Mtibwa, Kagera. Dodoma Jiji, Prison, Namungo, Azam FC na zinginezo.......

Source ...... Professor Bumbuli

Afisa Habari wa YANGA

Je, unakubaliana na hili?
FB_IMG_16482814397345079.jpg
 
Saaaalam Wana JF....nawasalumu kwa jina la TFF

Msimu huu wa ligue kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya ligue kuu Tanzania bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu Kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa yanga ndio timu yenye wachezaji Bora kuliko timu yeyote hapa bongo......

Fact

Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia dunian kwa Ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa bongo....... Mfano wasemaji wa Simba,. Mtibwa,. Kagera. Dodoma jiji. Prison,. Namungo. Azam. Na zinginezo.......

Source ...... Professor Bumbuli

Afisa habar wa YANGA

Je unakubaliana na hili?View attachment 2164789
Wenye akili huko Yanga ni Sunday Manara na JK. Waliobaki ni hamnazo . Kwahiyo siwezi kushangaa nikisikia kauli kama hizo.
 
Saaaalam Wana JF....nawasalumu kwa jina la TFF

Msimu huu wa ligue kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya ligue kuu Tanzania bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu Kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa yanga ndio timu yenye wachezaji Bora kuliko timu yeyote hapa bongo......

Fact

Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia dunian kwa Ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa bongo....... Mfano wasemaji wa Simba,. Mtibwa,. Kagera. Dodoma jiji. Prison,. Namungo. Azam. Na zinginezo.......

Source ...... Professor Bumbuli

Afisa habar wa YANGA

Je unakubaliana na hili?View attachment 2164789
Siungeandika Simba tu inatosha mana ndolengo lako!
Ng'ombe anaviewers wengi kuliko clab ya Yanga mweeee!
 
Saaaalam Wana JF....nawasalumu kwa jina la TFF

Msimu huu wa ligue kuu umeshuhudiwa kwa uwepo wa wachezaji wakali ndani ya ligue kuu Tanzania bara maarufu Kama NBC PREMIER LIGUE....kutoka timu ya YANGA maarufu Kama wananchi.....kwa wanaojua mpira ...wataona kuwa yanga ndio timu yenye wachezaji Bora kuliko timu yeyote hapa bongo......

Fact

Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji hatari Tanzania na barani Africa pia dunian kwa Ujumla FISTON MAYELE ametokea kuwa maarufu kuliko hata wasemaji wa timu zingine hapa bongo....... Mfano wasemaji wa Simba,. Mtibwa,. Kagera. Dodoma jiji. Prison,. Namungo. Azam. Na zinginezo.......

Source ...... Professor Bumbuli

Afisa habar wa YANGA

Je unakubaliana na hili?View attachment 2164789
Kwahiyo mmeweka zizi mpaka jangwaniee!
 
Back
Top Bottom