Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba


Ulivyoandika kama wewe ndiye huyo Mkuu ulotoa Baraka au ni miongoni mwa hao wasiojulikana uliyekuwa ukipokea baraka
 
kwanini umeacha KISIASA?
 
Mn
Kawaambie wakubali kuruhusu wachunguzi binafsi uine tunavyokuja kusanua mambo huko.
Hujajua kwanini wana ng'ang'ania kujichunguza?
a
Mnajifanyia uharifu kisha mnataka public sympathy, siku zenu zinahesabika
 
Mn

a
Mnajifanyia uharifu kisha mnataka public sympathy, siku zenu zinahesabika
Wewe mpumbavu ikitokea bahati mbaya umeokota akili ndiyo uwe unani quote sawa???
Maana unanipa shida sana to kneel to your levels of thinking...
 
Wewe mpumbavu ikitokea bahati mbaya umeokota akili ndiyo uwe unani quote sawa???
Maana unanipa shida sana to kneel to your levels of thinking...

Endelea kutangaza level zako za upumbavu, upumbavu ukikutoka utakuwa umechelewa
 
Yeah, kuna uwezekano hao waliotaka kurithi mabasi wamefanya timing ili huyo anaedaiwa awe mtuhumiwa,anything is possible. Huwa naangalia sana sana ile channel ya ID (Investigation Discovery) ya Startimes
Yawezekana ikawa mambo ya tamaa za malí .....ngoja tusubirie uchunguzi Wa polisi wetu makini watagundua nini

Ova
 
R.I.P mungu akupe rehema na msamaha isivyo kwa mastahiki yako bali huruma na msamaha wake
 
Huyu baba alikuwa aishi na mwanamke miaka imepita alishaachana na mkewe ...sasa jiulize ni kosa gani ambalo linaweza kumfanya mwanaume aondoke kwake? Mwanaume aliamua kuondoka na kumwachia kila kitu ( kwa mujibu wa majirani wa familiya hiyo) na mpaka sasa anakufa alikuwa anaishi mwenyewe mwanza sasa mambo ya kusema eti alimuaga mkewe mmmh may be.
Ila Mimi ninachoamini, ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga, walioshiriki kumuua wembe ni ile uleee.
 
tatizo ni hiyo sanda ya viroba, inakuwa kama msg fulani hivi
 
Na vipi hadi leo kunataarifa ya kupatikana walio husika na mauwaji?


Mkuu usikurupuke tu kusema, uchunguzi hauchukui dakika ama siku moja, wacha vyombo husika vifanye kazi yake. Ni kazi ngumu haswa ukizingatia hata huyo marehemu alipouwawa hakukuwa na mtu (mashahidi) hivyo utambue tu itakuwa kazi ngumu. Huwezi kamata tu watu kwa kudhania. Nafikiri utakuwa ni mtu uliyesoma na unajitambua.
 
Tusubiri uchunguzi wa kisayansi aseeee...Hawakawii kusema alijiteka ili kudanganya umma na kuleta taharuki
Utafanywa na nani?
Wangapi wamepotea au kufanyiwa mambo ya kinyama na uchunguzi haujafanyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…