Dabaga1998
JF-Expert Member
- Apr 10, 2016
- 994
- 502
Nae alijiteka Akajiweka kwenye kiroba
Asante kwa kuliona hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae alijiteka Akajiweka kwenye kiroba
Najua unatetea maslahi yako ya tumbo lako lakini Mhutu na Bashite watakuja kuyajibu haya mauaji ICC= International Criminal Court.Sioni sababu ya kuigizwa magufuri na mauaji haya mbona kumtesa mtu ni kitu kidogo sana ona wakina rugemalila na karasinga refer wakina babu saya na yule billione mdogo wa kule arusha alopigwa lisasi kipindi cha jk aliuwawa na jpm unajua unamjua vzr marehem anaingiaje kwenye siasa wew upo kimbiji huko umejuaje mambo ya hukoo nyie ndo mnatupandikiza imani mbaya tena wew naomba ukamatwe uhojiwe wote tuna hali ngumu lakin hasira zako usiziamishie kwenye msiba ya watu kila mmoja anacycle yake ya maisha unajua siri za matajir wew
Bila shaka marehemu ni chadema. Wasiojulikana kutoka chama kileeee wamefanya kazi yako
!
Aisee kijana mdogo mwenye pesa zake anaziacha
Alienda kudai deni,alienda kumdai nani ?
aliondoka na ndugu zake,ndugu kivipi na wenye mahusiano gani ?
atarudi na mgeni,mgeni gani ?
alikuwa anadai nini ?
R.I.P
Bashite na Mhutu watakuwa wanahusika.Hii inasikitisha sana kwa unyama uliofanywa kwa huyu ndgu na mtanzania mwenzetu ila pia ntashangaa sana kama hili tukio kuna watu watalitumia agenda yao ya kisiasa kwa hili watakuwa wamerwong step mbaya sana
Hakika hii ni habari mbaya
Na hili nalo mnataka waziri wa mambo ya ndani alijibu acheni fikra za kipumbavu hili swala lipo chini ya police na mamlaka ya upelelezi ya makosa ya jinai na siyo waziri
The brave man is not who he does not feel afraid, but he who conguers that fear. Let us all come together on 26/4/18 to reclaim our country from Bashite and Hutu Guy.hiyo inaingia kwenye pesa
Tumbo langu halitegemie ccm dudeNajua unatetea maslahi yako ya tumbo lako lakini Mhutu na Bashite watakuja kuyajibu haya mauaji ICC= International Criminal Court.
Amani iliyopo Tanzania ni amani ya maneno sio amani ya vitendo. Amani aliyotuachia Baba wa Taifa Rip Mwalimu Nyerere imesha kufa zamani tangu Tanzania kuanzishwa Mfumo wa vyama vyingi nchi yetu kumekuwa hakuna tena amani. Bora uishi na Wanyama Porini utakuwa mtu mwenye amani kuliko kuishi mijini na Binadamu wenzako utaishi kwa wasiwasi mwingi vifo vimekuwa ni vingi hata huko kwenye Ugomvi wa Palestina na Waisrail hakuna vifo kama vifo vinavyotekea hivi sasa mijini nchini Tanzania. Mungu atusaidie na kuto okoa na jangaa kubwa hilo la vifo vya ajabu ajabu vinavyozidi kutokea siku hata siku amin.Tanzania si nchi salama tena
AmenAmani iliyopo Tanzania ni amani ya maneno sio amani ya vitendo. Amani aliyotuachia Baba waTaifa Rip Mwalim Nyerere imesha kufa zamani tangu Tanzania kuanzishwa Mfumo wa vyama vyingi nchi yetu kumekuwa hakuna tena amani. Bora uishi na Wanyama Porini utakuwa mtu mwenye amani kuliko kuishi mijini na Binadamu wenzako utaishi kwa wasiwasi mwingi vifo vimekuwa ni vingi hata huko kwenye Ugomvi wa Palestina na Waisrail hakuna vifo kama vifo vinavyotekea hivi sasa mijini nchini Tanzania. Mungu atusaidie na kutokoa na jangaa kubwa hilo la vifo vya ajabu ajabu vinavyozidi kutokea siku hata siku amin.
Msilete siasa kwa ishu ambayo haihusiani na siasaBashite na Mhutu watakuwa wanahusika.
Mungu anazidi kuumbua mipango ya waovu na ile ya Jeshi la Polisi. Juzi wame tofautiana kauli. Leo hii nani atakua na imani na upelelezi utakaofanywa na jeshi la Polisi?
Kawaambie wakubali kuruhusu wachunguzi binafsi uine tunavyokuja kusanua mambo huko.Kafanye uchunguzi badala yao