SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 807
Yaani serikali iko kimya kuna jambo hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pomoja na hayo magwanda yako hujajua chanzo mpaka sasa?
Wakati mwingine tuwe tunatumia busara tunapo-post mawazo yetu huku. Naamini hii Forum wengi ni wasomi wa kutosha na anlytical. Umeambiwa kuwa aliaga kwa ndugu zake kuwa anaenda kufuatilia deni lake. Kwa nini usianze kuuliza kama alimtajajina aliyekuwa anamdai au kwa nini usijiulize kama na yeye alikuwa anadaiwa mpaka turukie mambo mengine ya ajabu? Kwa nini usijiulize hao waliokamatwa wanahusikaje au kwa nini wao na si wengine? RIP SamWatawala watasema huo mwili ni wa mhamiaji haramu umetoka nje ya nchi
Kifo kibaya sana hiki,imagine kama ni mtu anafungwa humo akiwa hai halafu atoswe kwenye maji,yaani hata namna ya kupigania pumzi yako anakosa[emoji29]huyu aliyeanzisha style ya kuua watu kwa kuwaweka kwa viroba...Mungu amlaani
Siwezi kubashiri wewe angalia mwanzo wa hili sakata mpaka sasa, kutoka kuchomwa moto gari lake tena ndani ya Hifadhi ya taifa mpaka mwili kuonekana mtoni. Kuna picha mbili tofauti. Kwanza ; Gari linachomwa moto ndani ya hifadhi ya taifa. Pili; Mwili kuokotwa mtoni. Najaribu kufikiria kwa sauti tu lakini.Kama unalijua ndugu tuambie na kama hulijui, acha kubashiri.
Hii nchi inabidi tufanye hivi [emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]Kifo kibaya sana hiki,imagine kama ni mtu anafungwa humo akiwa hai halafu atoswe kwenye maji,yaani hata namna ya kupigania pumzi yako anakosa[emoji29]
Cha muhimu ni kuelewa kwamba jf ni kokoro linalobeba kila kilichopo kwenye jamii hivyo kuna mawazo ya aina zote. Busara yako itaamua lipi uchukue na lipi uliache.Wakati mwingine tuwe tunatumia busara tunapo-post mawazo yetu huku. Naamini hii Forum wengi ni wasomi wa kutosha na anlytical. Umeambiwa kuwa aliaga kwa ndugu zake kuwa anaenda kufuatilia deni lake. Kwa nini usianze kuuliza kama alimtajajina aliyekuwa anamdai au kwa nini usijiulize kama na yeye alikuwa anadaiwa mpaka turukie mambo mengine ya ajabu? Kwa nini usijiulize hao waliokamatwa wanahusikaje au kwa nini wao na si wengine? RIP Sam
Nakuona miss high heelsKifo kibaya sana hiki,imagine kama ni mtu anafungwa humo akiwa hai halafu atoswe kwenye maji,yaani hata namna ya kupigania pumzi yako anakosa[emoji29]
Aisee nilikuwa na informer mmoja aliniambia walizunguka Serengeti mbugani siku 3 bila kuona mwili wa marehemu,ila sasa tunakoeleka ni hatari sanaSiwezi kubashiri wewe angalia mwanzo wa hili sakata mpaka sasa, kutoka kuchomwa moto gari lake tena ndani ya Hifadhi ya taifa mpaka mwili kuonekana mtoni. Kuna picha mbili tofauti. Kwanza ; Gari linachomwa moto ndani ya hifadhi ya taifa. Pili; Mwili kuokotwa mtoni. Najaribu kufikiria kwa sauti tu lakini.
Kama unaenda zimbabwe nisubiri ndo namalizia kupanga nguo hapaHii nchi inabidi tufanye hivi [emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Here i am,mr DrekaNakuona miss high heels
FactCha muhimu ni kuelewa kwamba jf ni kokoro linalobeba kila kilichopo kwenye jamii hivyo kuna mawazo ya aina zote. Busara yako itaamua lipi uchukue na lipi uliache.
Wahi Burundi nchi ya kwanza kwa kukosa furaha dunianiHii nchi inabidi tufanye hivi [emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Hahahahahaha sasa akafanye nn hukoWahi Burundi nchi ya kwanza kwa kukosa furaha duniani
Naomba kujua hayo majibu halisi kuhusu walikopotelea Ben Saanane na Azori Gwanda au waliomchakaza risasi Tundu Lissu. hapo hatujaongelea matukio mengine yaliyopotezewa kwa kuibua viroja juu yake kama kawaida ya watanzania. Hata waliomteka Ulimboka, Roma etc hatujawahi kuambiwa ni akina nani. Wewe ambaye hauna upande wala majibu, tusaidie majibu yaliyotolewa kuhusu hizo crimes ndipo nitaamini kuwa hata uchunguzi wa kifo cha mmiliki wa Super Sami utakuwa na maana.Huwezi kuona majibu yanayotolewa kuwa ya maana kwa kuwa tayari umesha chagua upande hali kadhalika na majibu yako binafsi kabla ya majibu halisi.
Kuna wengine yamewakuta hata si matajiri.Sioni sababu ya kuigizwa magufuri na mauaji haya mbona kumtesa mtu ni kitu kidogo sana ona wakina rugemalila na karasinga refer wakina babu saya na yule billione mdogo wa kule arusha alopigwa lisasi kipindi cha jk aliuwawa na jpm unajua unamjua vzr marehem anaingiaje kwenye siasa wew upo kimbiji huko umejuaje mambo ya hukoo nyie ndo mnatupandikiza imani mbaya tena wew naomba ukamatwe uhojiwe wote tuna hali ngumu lakin hasira zako usiziamishie kwenye msiba ya watu kila mmoja anacycle yake ya maisha unajua siri za matajir wew