kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Kuuliza sio ujingaAchana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuliza sio ujingaAchana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
kwani ccm ina mahusiano na watu wasiojulikana....Jamaa aliwanyima ccm mabasi ya kupeleka watu kwenye mkutana na hilo nalo tulione
Swissme
kwani ccm ina mahusiano na watu wasiojulikana....
hiyo inaingia kwenye pesaNakubaliana nawe bro Chinatown. Kwa nyongeza pia inaweza kuwa WAMEDHULUMIANA ktk biadhara
Usalama na amani yako viko mikononi mwako!watanzania hatuko Salama
PreciseUsalama na amani yako viko mikononi mwako!
NimekupataNdiyo ni group moja la ccm polis
Swissme
Inasaidia kujua misimamo yake na vitu alivyofanya kabla eg michango nk ili tujue kipi kimesababisha kifo chake, werevu hatuishii tu kusema RIP tunataka tufahamu current CV yakeAchana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
Siasa ni maisha kwa msiofahamu siasa ni kila kitu...siasa ni mfumo mzima wa maisha ktk jamii,siasa inaratibu uchumi,biashara,na shughuli zote za kila siku..u name them!Achana na siasa kwenye kila jambo mtoto. Mtu kafa we unaulizia alikuwa chama gani. Unataka ukampe kadi ya chama chako au?
Matambiko yen