Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sema hatuwezi jua... Matajiri wa kanda ya ziwa wanamambo yao bana
Tuseme tu RIP
Mh. Hussein Bashe, WAHISHA HOJA yako hapo Bungeni, Tafadhali!Watanzania hatuko Salama
[emoji23] [emoji23] [emoji125]we nae haueleweki sasa..inamaana maombi yako hauyaamini au mungu uliemuomba hapo hawezi kukujibu mpaka umeanza na kushtaki kwa JPM aingiie kati? hahaha kuwa na msimamo basi.
Yaani acha tu,watu wamekosa utu.Walimpigia simu akawaamini kwa vile ni Binadamu wenzake.Kumbe wanakwenda kumchinja.Usimwamini mtu yeyote.Ccta mie naogopa sana lifestyle iliyopo sasa Tanzania. Hebu angalia ujasiri walionao hao wauaji!! Najiuliza je inamaana tangu wazaliwe hawajawahia kufundishwa uwepo wa mungu!? Nimechoka kabisa heri kufa kwa Ukimwi lkn si kwa style hii. Nchi imelaaniwa
Ningelikuwa mimi ndio Waziri wa mambo ya ndani ningejiuzulu kwani hivi sasa hali imezidi kuwa mbaya lawama zote nije kuzipata mimi eti kwa sababu ya cheo changu cha U-Waziri wa mambo ya ndani? nitakwenda kusema nini kwa Mungu?Majibu ya Waziri huwa ni mepesi sana
Kutafuta uraisi tatizoNingelikuwa mimi ndio Waziri wamambo ya ndani ningejiuzulu kwani hivi sasa hali imezidi kuw ambaya lawama zote nije kuzipata mimi eti kwa sababu ya cheo changu cha U-Waziri wa mambo ya ndani? nitakwenda kusema nini kwa Mungu?