Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Ningelikuwa mimi ndio Waziri wamambo ya ndani ningejiuzulu kwani hivi sasa hali imezidi kuw ambaya lawama zote nije kuzipata mimi eti kwa sababu ya cheo changu cha U-Waziri wa mambo ya ndani? nitakwenda kusema nini kwa Mungu?
Kila kitu kinaendeshwa kwa maagizo kutoka juu, mawaziri wa awamu ya tano ni kama ma messenger tu.
 
Sio mtanzania au alijiteka!!

Endelea kusubiria huenda akaongeza jibu jingine zaidi ya hayo juu.
 
Usalama wa Raia umekua mdogo sana katika kipindi hiki, Yajayo yanasikitisha!
 
Na hili nalo mnataka waziri wa mambo ya ndani alijibu acheni fikra za kipumbavu hili swala lipo chini ya police na mamlaka ya upelelezi ya makosa ya jinai na siyo waziri
Kwani alipoongelea inshu ya Abdul Nondo ilikua ipo chini ya nani Shangazi yako??
 
Hajielewi huyo unaemuuliza polisi wako chini ya Wizara gani kwani Huyo waziri alipoongelea inshu ya Abdul Nondo ilikua chini ya nani si aliingilia tu
 
Hivi Ansbert Ngurumo alijificha wapi vile, Mwanza kabla ya kukimbilia ulaya sio, nani alimsaidia kukimbia najaribu kufikiria, alafu alimpigia simu wife anakuja home na mgeni, je huyo mgeni ni nani.
 
Maskini,naimagine jinsi alivyoteseka kuchinjwa bila nganzi,Binadamu ni zaidi ya mnyama.Babu yangu aliniambia zamani ukiona Binadamu unapata moyo,siku hizi ni bora ukutane na Simba kuliko Binadamu mwenzako.
Sincerely speaking atakuwa ameumia na ameteseka mateso makubwa kuliko ambavyo mtu anaweza kufikiria. Hakika huu ni moja ya mfano kwamba lazima kuna siku ya mwisho ili kila mmoja wetu akalipwe haki yake kwa yale aliyoyatenda hapa duniani.
Huyu jamaa kafa kifo kigumu sana, ni lazima watesi wake waje wapate haki yao siku ya hukumu kutoka kwa HAKIMU wa mahakimu (MWENYEZI MUNGU)
 
Daaa.., siku zote hizo ndo aonekane Leo Mtoni au walimshikilia kwa Muda kabla ya kuamua kumtoa uhai? Na je lilikotelekezwa gari lake na huko alikopatikana ni maeneo ya karibu ama maeneo mawili tofauti?
Maswali ni mengi sana kuliko majibu, apumzike panapostahili...,
Binafsi naamini wauwaji walimshikilia kwa muda kwani hata kuchoma gari yake ni njia ya kupunguza evidence .
Ikumbukwe kuwa siku zote mauaji kama haya yana sura tatu (3)
1.KISASI
2.MAPENZI
3.PESA
SO kama jeshi letu lingekuwa linafanya kazi kwa weledi nadhani issue ya kukamata wahusika ni simple tu
 
Binafsi naamini wauwaji walimshikilia kwa muda kwani hata kuchoma gari yake ni njia ya kupunguza evidence .
Ikumbukwe kuwa siku zote mauaji kama haya yana sura tatu (3)
1.KISASI
2.MAPENZI
3.PESA
SO kama jeshi letu lingekuwa linafanya kazi kwa weledi nadhani issue ya kukamata wahusika ni simple tu
Nakubaliana nawe bro Chinatown. Kwa nyongeza pia inaweza kuwa WAMEDHULUMIANA ktk biadhara
 
Back
Top Bottom