Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Bunda: Mwili wa Samson Josiah, mmiliki wa mabasi ya Super Sami waokotwa mto Ndabaga kwenye Kiroba

Wandugu natafuta kozi ya kudukua mitandao, nikipata ujuzi huo mimi itakuwa sicheleweshi kuleta ushahidi.

Vyombo husika vina access na mawasiliano ya wahanga ila itapita miaka bado uchunguzi unaendelea.
 
Insikitisha sana namna watu wanavyotumia muda wao mwingi kulazimisha kuwa amani imepotea, wanasahau kwamba watanzania wanaakili za kuona kama amani imepotea ama la, na sio kusubiri kuambiwa na wanasiasa uchwara wa vyama uchwara.
 
1. Dr. Mvungi(RIP)
2. Alfonce Mawazo(RIP)
3. Ben Saanane (hapa sijui)
4. Kibiti
5. Tundu Lissu (major one)
6. Roma (una bahati)
7. Diwani Hananasif (RIP)
8. Diwani Morogoro (RIP)
9. Azron (hapa sijui)
10.Nondo (una bahati)



bado tuko salama? achilia hao ambao hatuji hakuna anaejua ilikuwa je? Eeee Mungu tusaidie
Roma na Moni (wanabahati)
 
Hivi huyu jamaa si ndio walikuwa wanamsema ni "muimbisha watu mtaji wa maskini ni nguvu zako mwenyewe"...!!!humu jf katajwa sana yeye na mali zake,tena kwa sifa uchwara na zisizo uchwara.pia katajwa kama kada mtiifu wa rangi za taa zinazoruhusu magari kupita.....wengine wakasema ndio maana anaimbisha watu hovyo coz analindwa na "RANGI MURUA" ya mikunde......!!!?mpaka muda huu nina namba tisa ila kumi siioni...



...... ?????????
 
Labda anataka aunganishe doti,mauaji ya Diwani wa CDM Kule Moro, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI kule Kasulu na hili LA huyu tajiri ili ahitimishe kuwa mauaji ya sasa yamewalenga wapinzani.
Tungoje atakuja kuyajibu maswali yako yeye mwenyewe.
Haya ni mambo ya kibiashara, kuna mtu alikuwa anadaiwa hapo, nahisi anahusika..,
 
Mwili wa mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah unaodaiwa kukutwa mtoni ukiwa umefungwa kwenye mfuko.



Mwili wa Mmiliki wa mabasi ya Super Sami Samson Josiah umekutwa katika mto Ndabaka eneo la Bunda /Lamadi

Taarifa kutoka vyanzo vya habari zinasema kwamba mwili wa Samson Josiah umeokotwa na wavuvi wa samaki leo jioni Jumatano Machi 14,2018.

Watu wa karibu na marehemu wanasema mwili uliookotwa ni wa Samson Josiah.

Miongoni mwa habari zilizoteka vyombo vya habari Tanzania tangu Machi 9, 2018 hadi ni kuhusu kupotea kwa mmiliki wa mabasi ya Super Sami, Samson Josiah kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Soma => TANZIA: Mmiliki wa mabasi ya Super Sami akutwa amekufa na gari lake kuchomwa moto Serengeti

Mapema ilielezwa kuwa gari yake ndogo aliyokuwa akiitumia aina ya Toyota LandCruiser ilikutwa imechomwa moto katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti iliyoko mkoani Mara siku ya Machi 9, lakini yeye mwenyewe alikuwa hajapatikana.

Kwa mujibu wa familia ya Bwana Josiah, ambayo inaishi mkoani Mwanza, ilidai kuwa siku ya kupotea kwa Josiah ambayo ni February 27, majira ya usiku, Josiah alimpigia simu mkewe na kumwambia kuwa atarudi nyumbani na mgeni, na hayo yakawa mawasiliano yao ya mwisho.

Mabasi ya Super Sami yanafanya safari zake kuanzia mkoa wa Mwanza, kwenda mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Iringa pamoja na Kagera.

Chanzo: Muafrika Halisi blog

=====

Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Mara, limetoa taarifa rasmi juu ya kuokotwa kwa mwili wa mfanya biashara na mmiliki wa mabasi ya Super Sami Samson Josiah , ambaye alitoweka na mwili wake kuokotwa mtoni hapo jana.

Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara Jafari Mohamedi, amesema hapo jana walipata taarifa kutoka kwa wananchi kuhusu kuokotwa kwa kiroba chenye mwili ndani, na walipokifungua na kuita watu kutambua, ndipo alipojulikana kuwa ni mwili wa mfanya biashara huyo anayeishi mkoani Mwanza.

“Jana jioni tumeweza kupata mwili wa marehemu huyu Samson Josiah ambaye ni mmiliki wa mabasi ya Super Sammy anayeishi Mwanza, kwamba kuna mwili umeonekana katika mto ambao unatenganisha mkoa wa Mara na mkoa wa Simiyu unaoelekea mbugani Serengeti, wananchi waliona kiroba kimefungwa kinaelea, kikavutwa wakajulishwa polisi kufungua ndani wakakuta mwili wa marehemu, kwa sababu tulikuwa na taarifa za utafutaji na mashaka juu ya kutoweka kwake, tukajulisha ndugu hao na wakatambua mwili wa marehemu”, amesema Kamanda Mohamedi.

Kamanda Mohamedi aliendelea kwa kueleza kwamba marehemu alitoweka kuanzia tarehe 27 mwezi wa pili ambapo aliondoka mkoani mwanza, na ndugu zake walisema kuwa aliaga anaenda Simiyu kwa shughuli zake za kibiashara na kuna mtu anamdai na akapotea tangu siku hiyo, na gari yake aliyotoka nayo Mwanza kukutwa imechomwa mtoto maeneo ya Serengeti mnamo tarehe 8 hadi kuteketea kabisa.

Imeelezwa kwamba kwa sasa mwili huo umehifadhiwa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara kwa ajili ya postmoterm, na baadaye utatolewa kwenda kuzikwa, na mpaka sasa watu wanne wameshikiliwa kufuatia tukio hilo, upelelezi bado unaendelea
Jamaa aliwanyima ccm mabasi ya kupeleka watu kwenye mkutana na hilo nalo tulione


Swissme


Mungu wetu wa Amani na Mungu wa faraja, ukawape faraja ndugu wa familia hii iliyopatwa na msiba huu mzito. Hakuna mtu aliye na haki ya kutoa uhai wa mtu mwingine. Tukio hili kwa kweli limenitouch sana. RIP Samson Josiah.
 
Huo mwili baada ya wiki mbili wameutambua? Na mbona staili ni zile zile za watu walio kua wanafugwa kweny visandarus kweny Bahar ya hindi? Na huo MTO ndibaga usikute tuna share na mataifa mbalimbali ..ukute sio mwil Samson ni wa watu wa mataifa mengne kama ilivyokua bahari ya Hindi

Ni rahisi sana kutambua kama ni mwili wake kwa sababu kuna kitu kinaitwa DNA, na wanachofanya nikuchukua DNA yandugu yake na kuilinganisha na DNA ya marehemu. Lakini hata kama si watanzania jamani jinsi huyo marehemu alivyo fungwa inaumiza na kufadhaisha moyo.
 
Lini umesikia tamko la mkuu kuhusu maiti za viroba au mauaji yeyote akikemea toka ameingia madarakani,hawezi kuepuka hizi tuhuma watu wake ndio wahusika wakuu
Amen hawa ni watu wasiojulikana ambao wanaongozwa na Mhutu pamoja na Bashite.
 
Usalama Wa Raia umekuwa changamoto viongozi wa Juu haswa Minister Mwigilu ni wakati wako sasa ujitathimini na Uone kama una fit kuwa hapo

Jamani Mwigulu Nchemba ni messenger ila wahusika hapa ni Mhutu na Bashite.
 
Ndio maana maandiko yanasisitiza kuwa, 'tutafute kwa bidii kuwa na amani na watu wote'... Angefanya hivyo, huenda haya yasingemtokea ndugu tajiri...
Kwa hiyo ni kosa lake si la Mhutu na Bashite ambao wamekuwa wakishutumiwa kwa mauaji mengi Tanzania. Na jinsi mhutu alivyo mbabe angekuwa mbogo lakini kwa sababu anahusika na yeye ni msema kweli hawezi kusema chochote.
 
Ccta mie naogopa sana lifestyle iliyopo sasa Tanzania. Hebu angalia ujasiri walionao hao wauaji!! Najiuliza je inamaana tangu wazaliwe hawajawahia kufundishwa uwepo wa mungu!? Nimechoka kabisa heri kufa kwa Ukimwi lkn si kwa style hii. Nchi imelaaniwa
Wahutu ndiyo wako hivyo wapenzi watanzania. Sisi mungu ametujalia utu ndiyo maana mioyo yetu ina majonzi sana. Lakini Mungu wa haki anawaona.
 
Bila shaka marehemu ni chadema. Wasiojulikana kutoka chama kileeee wamefanya kazi yako
!
 
Back
Top Bottom