Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti nchi ya amani, two weeks, polisi haijasema lolotewatanzania hatuko Salama
Alafu ishu ya nondo fasta walijibuEti nchi ya amani, two weeks, polisi haijasema lolote
Alafu ishu ya nondo fasta walijibu
Tena kwa kunzina Iringa vyao Dar vyao.Alafu ishu ya nondo fasta walijibu
usisahau kuwa Jamaa Gari lake limekutwa kwenye hufadhi ya taifa ...likiwa limeungua..yaani mpaka limeteketea hkuna hata askari aliyejua kuwa kuna Gari linaungua ...jionee mwenyew muujizaEti nchi ya amani, two weeks, polisi haijasema lolote
Sema hujui kitu, nyamaza tu mkuu...Ishi maisha ya kati tu itapendeza sana nchi kama hii si ya kujionesha kuwa ww ni money holder
We usiseme maskini mkewe,kwani anaweza fanya mpango auwawe ajili ya mali.Acha uchunguzi ufanyike.dah maskini mkewe