Bunda: Paroko Karoli Mganga mbaroni akidaiwa kughushi na kujipatia Tsh. Milioni 800

Mgendagenda yaani mpitanjia au mtembezi.
 
Nijuavyo mimi, Paroko ndiye mdhamini wa mali zote za Parokia. Hata akitaka kutumia hovyo mamlaka aliyopewa kwa kuaminiwa, anaweza kufanya bila shida yoyote. Sijajua hilo limekaaje
Padre hana Mamlaka hayo aisee...ila kwa kushirikiana na watu aliowaweka inawezekana.
 
mapadre wanavuta sigara, wanakunywa wine na wananunua malaya....uliza kwa waliosoma seminary wanajua hizi mambo
 
Hiv ni mimi ambae sijui au na niny wenzangu.

Hivi kwenye hii kesi wa kulalamika ni Kanisa katoliki au parokia? Naonaga pia watu wanasema TAKUKURU waende mara simba mara Yanga, ila hizo si pvt bodies? So why TAKUKURU?
Takukuru inahusika na makosa yoteyawe private au public yanayohusu ufisadi na rushwa hata wewe ukifanya ufisadi kwenye kampuni ya familia yenu takukuru inahusika.

Na kwa kuongezea unappfanya jinai kwenye mipaka ya tanzania hata kwa ndugu yako inayokushitaki ni jamhuri siyo ndugu yako, ndug yako atakuwa shahidi tu.
 
Kwa sheria za kanisa katoliki hapo labda askofu wa jimbo ndo amshitaki. Paroko wa parokia ana mamlaka kamili na vitu vyote vilivyopo kwenye parokia. Pona ya wanaparokia labda iwe walifoji nyaraka za kutoa fedha.
 
Dili halichagui we ni nani,sema tu limebuma 😀😀
 
Kwa sheria za kanisa katoliki hapo labda askofu wa jimbo ndo amshitaki. Paroko wa parokia ana mamlaka kamili na vitu vyote vilivyopo kwenye parokia. Pona ya wanaparokia labda iwe walifoji nyaraka za kutoa fedha.
Mzee jinai siyo swala binafsi kama aliiba ni swala la serikali
 
Mzee jinai siyo swala binafsi kama aliiba ni swala la serikali
Nyaraka za uanzishwaji wa parokia zinaweza zikawa hazisapoti ukisemacho. Kwa sababu wakati wa kuanzisha akaunti huwa zinapelekwa nyaraka. Zile ndo zitaamua ni kosa au sio kosa. Ndo maana unaona askofu anafanya utumbo then vatican ina mrecall anaachishwa utume basi na kama ni kushtakiwa anashtakiwa kwenye mahakama za ndani ya kanisa. Kwenye katiba ya kanisa katoliki paroko mahalia ana mamlaka ya hadi kumkatalia msaidizi wake kwenda sehemu na namna ya kutumia fedha za parokia. Anayeweza kumoverule ni askofu wake peke yake. Je akithibithisha hajaiba bali amechukua hela zilizo chini ya mamlaka yake akatumia? Na vithibitisho akakutolea kuthibitisha yeye kama paroko ana mamlaka na fedha za parokia? Mtasemaje?
 
Ndio maana takukuru wanaingia kuchunguza wakithibitisha kuna jinai atafikishwa mahakama za kawaida
 
huo mkwanja ni mrefu sana aseee! hiyo ni hela ya miradi midogo midogo kwenye level ya halmashauri !! hapo TAKUKURU lazima chupi ziwacheze
 
Mdau anasema makanisa ya pesa ila msikitini hata hela ya umeme ni ugomvi. Ni kweli?
Muulize aliesema, mimi msikiti wa jirani yetu hawakuwahi kuwa na tatizo la umene na hawachangishi pesa za umeme.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…