Bundi atua Msimbazi, msemaji wa Simba ndugu Ezekiel Kamwaga abwaga manyanga

Umerizika mwenyewe nyie ndiyo wale mnaoweza mkapata mshahara wa mwezi mmoja na ukaacha kazi ni shortsighted fellas

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui mpira mkuu, na hujui nilichoongea. Wanaelewa watu wa mpira wanaoujua mpira.

Mimi nawaza kuajiri watu.[emoji16][emoji16] mpumbavu km ww anawaza kuwa mtumwa wa mshahara. Kijana mdogo unawaza kuajiriwa ulipwe mshahara ktk dunia hii ya fursa.

(Watu wakifanikiwa mnaanza Mara oooh msukule, Freemason. Nenda huko na ww km kuna hela za bure ziko mahali)

Kumbafu!
 

[emoji867]Ficha ujinga wako, huna wazo la kibiashara litakalo kuletea utajiri wewe kwa kuwaza upupu hivi uko kingese sana kimitazamo, unaandikiwa mistari miwili wewe unajibu kurusa tatu ona ulivyo dada kiparura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji867]Chukua hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kashabikie kariobangi huko kenya mambo ya tz huyajui. Huyo Eze alikaimu kwa muda wa miezi 2 tu. Na amesema haongezi muda maana anaenda UK masomoni.. LUC EMELY alisemaga mashabiki wa .... ni......[emoji41][emoji41]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Bundi tena wkt walisema ni msemaji wa muda wa miezi miwili tu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Bundi tena wkt walisema ni msemaji wa muda wa miezi miwili tu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Usiwanyime watu furaha kaka,we fikiria mtoto kaanza form one hadi anamaliza form four simba ni bingwa , acha watu wawe na msongo wa mawazo ,we mkubalie tu kwamba kuna bundi katua na bado yuko juu y abati
 
Kunywa maji kwanza maana una maumivu sana moyoni mwako
 
Yani Hii Nyani kumbe haujui kuwa Eze Kamwanga alikuwa na Mkataba wa Miezi Miwili tu ndiyomana ikakurupuka kuandika Uzi? Hama kwa Shemeji upate akili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Habari za saubuhi Hajj Manara! Nasikia mkeo kakumbia eti "bunduki haitemi risasi"!!!!!
 
Noma sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…