This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hujui mpira mkuu, na hujui nilichoongea. Wanaelewa watu wa mpira wanaoujua mpira.Umerizika mwenyewe nyie ndiyo wale mnaoweza mkapata mshahara wa mwezi mmoja na ukaacha kazi ni shortsighted fellas
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui mpira mkuu, na hujui nilichoongea. Wanaelewa watu wa mpira wanaoujua mpira.
Mimi nawaza kuajiri watu.[emoji16][emoji16] mpumbavu km ww anawaza kuwa mtumwa wa mshahara. Kijana mdogo unawaza kuajiriwa ulipwe mshahara ktk dunia hii ya fursa.
(Watu wakifanikiwa mnaanza Mara oooh msukule, Freemason. Nenda huko na ww km kuna hela za bure ziko mahali)
Kumbafu!
[emoji867]Chukua hiyoHujui mpira mkuu, na hujui nilichoongea. Wanaelewa watu wa mpira wanaoujua mpira.
Mimi nawaza kuajiri watu.[emoji16][emoji16] mpumbavu km ww anawaza kuwa mtumwa wa mshahara. Kijana mdogo unawaza kuajiriwa ulipwe mshahara ktk dunia hii ya fursa.
(Watu wakifanikiwa mnaanza Mara oooh msukule, Freemason. Nenda huko na ww km kuna hela za bure ziko mahali)
Kumbafu!
ππππWe kashabikie kariobangi huko kenya mambo ya tz huyajui. Huyo Eze alikaimu kwa muda wa miezi 2 tu. Na amesema haongezi muda maana anaenda UK masomoni.. LUC EMELY alisemaga mashabiki wa .... ni......[emoji41][emoji41]
Bundi tena wkt walisema ni msemaji wa muda wa miezi miwili tuKatika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba,inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo. Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo. Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Usiwanyime watu furaha kaka,we fikiria mtoto kaanza form one hadi anamaliza form four simba ni bingwa , acha watu wawe na msongo wa mawazo ,we mkubalie tu kwamba kuna bundi katua na bado yuko juu y abatiBundi tena wkt walisema ni msemaji wa muda wa miezi miwili tu
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Vyote km msukule wenyewe kwa kauli yake ulivyowahi kusema ukiwa utopo lazima akili yako inashidaHivi kuna uhusiano wowote wa roho mbaya/utindio wa akili na kushabikia utopwinyo?
Kwahiyo!Brabra yupo colombia baba yake kafariki alikuwa anaumwa yuko huko na ndugu zake wa kambo Mr Gozalez kafariki kuwa n aubindamu umpe pole badala ya kuwa kama jitu la hovyohovyo
Punguza kula viazi vya kuchoma vinasababisha ukijamba hewa kuwa chafu mnoooKwahiyo!
Punguza kimbelembelePunguza kula viazi vya kuchoma vinasababisha ukijamba hewa kuwa chafu mnooo
Kunywa maji kwanza maana una maumivu sana moyoni mwakoHizi sio enzi za Jiwe na Bashite wake, mpaka mkafikia hatua ya kukufuru eti mtachukua ubingwa mpaka Kayafa atakapoondoka madarakani. Na Mungu wa ukweli kasikia sala yenu akamuondoa Kayafa,sasa mnaanza kulialia huku mkisahau ni nyinyi wenyewe ndio mlioweka hayo maagano.
Wee ni mchawiNyie ndio wa kwanza kuchukua ubingwa mara NNE mfululizo?
Habari za saubuhi Hajj Manara! Nasikia mkeo kakumbia eti "bunduki haitemi risasi"!!!!!Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba,inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo. Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo. Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Noma sana !Katika kile kinachoelezwa hali si shwari ndani ya Club ya Simba, inaelezwa Msemaji wa timu hiyo ndugu Ezekiel Kamwaga ameamua kukaa pembeni kuendelea na majukumu yake ndani ya club hiyo.
Tukio hili linatokea Ikiwa haijapita hata wiki moja tangu kujiuzulu nafasi ya Mwenyeketi wa Bodi wa timu hiyo MO Dewji. Sababu za kamwaga kubwanga manyanga bado hazijawekwa wazi ila za ndani zinasema kuwa amechoshwa kupelekeshwa na mtendaji mkuu wa timu hiyo.
Alipoulizwa Mwenyekiti wa Simba ndugu Mangungu kuhusiana na taarifa hizi amesema watalitoea tamko hapo baadae.
Saaana!!Noma sana !
Na ishuke TU darajaHii timu hi mwaka huu timu nyingine zitajipgia