This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hujui mpira mkuu, na hujui nilichoongea. Wanaelewa watu wa mpira wanaoujua mpira.Umerizika mwenyewe nyie ndiyo wale mnaoweza mkapata mshahara wa mwezi mmoja na ukaacha kazi ni shortsighted fellas
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nawaza kuajiri watu.[emoji16][emoji16] mpumbavu km ww anawaza kuwa mtumwa wa mshahara. Kijana mdogo unawaza kuajiriwa ulipwe mshahara ktk dunia hii ya fursa.
(Watu wakifanikiwa mnaanza Mara oooh msukule, Freemason. Nenda huko na ww km kuna hela za bure ziko mahali)
Kumbafu!