Bunge halina mamlaka kumhoji Askofu Gwajima alichoongea na waumini wake

Bunge halina mamlaka kumhoji Askofu Gwajima alichoongea na waumini wake

Waumini wake ni wajinga.

Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.

Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.

Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.

Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.

.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio
Watu 10,000 Wanafwatilia Mahubiri Ya Gwajima Live Youtube! Inaonekana Hii Nchi Vifurushi Ni Bei Rahisi Sana, Hivyo Sisi Wananchi Tunaiomba Serikali Ya CCM Iongeze Tozo Kwenye Vifurushi, Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?
 
Hivi yeye alijua anajiunga na CCM kufanya nini? Na bado. SISIEM itamtuma siku moja kwenda kung'oa watu kucha bila ganzi, na hata kuwaweka kwenye viroba. asishangae shangae na kutuzuga sisi wakati yeye mwenyewe ajiingiza kwenye siasa za CCM kichwa kichwa
Alijua yule mtu wao wa Chato atakuwa rais milele
 
Bunge lina mamlaka na wajibu wa kumuhoji yeyote
 
Askofu Gwajima,

Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.

Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.

Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.

Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.

Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.

Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.

Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.

Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.

Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.

Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Safi sana. Hata mm nimeshampinga Gwajima kwa kwenda kuchanjwa.
 
Kahojiwa CAG prof Asaad huyo Gwajifix yeye ni nani, Yustino hata akitaka amuite mama atamwita tuu akahojiwe , yule mwamba bana , na hivi hana cha kupoteza kutokana na afya yake hatari sana
 
Enzi zile anadili na Makonda ulikuwa muumini wake
Waumini wake ni wajinga.

Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.

Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.

Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.

Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.

.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio
 
Usizoelee kutukana watu kienyeji hivyo! Ubawa wa mahubiri ya Gwajiboy ni nini?
Kuchanja ni hiari si ndio? Mnataka ndio mzee tu...mkikutana na resistance mnatumia miguvu badala ya akili! Waacheni watz waamue bila kuwalaghai na kuwagiribu kwa misinformation!
Mwanasiasa akikuambia nje giza kitu cha hekima kufanya ni kwenda kuchungulia mwenyewe ujiridhishe😜!
Wapi nimeandika ni lazima watu wachanjwe?
 
Kwenye ishu ya kuchanjwa Gwajima hanakuja na simulation za kitoto sana.
Kama story za kusimuliwa kijiweni.na kuwapotosha waumini wake kwa maana Asilimia kubwa ya waumini wa gwajima ni la layma

Kwenye ishu ya kuchanjwa Gwajima hanakuja na simulation za kitoto sana.
Kama story za kusimuliwa kijiweni.na kuwapotosha waumini wake kwa maana Asilimia kubwa ya waumini wa gwajima ni layman
Duh! Kwa jinsi ulivyo-andika Kiswahili chako, bora urudi darasa la kwanza kisha uje kumkosoa Gwajiboy!

Bro umeandika bagia!
 
Askofu Gwajima,

Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.

Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.

Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.

Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.

Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.

Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.

Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.

Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.

Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.

Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Mkuu umetulisha matangopori...ebu taja mstari kwenye Biblia unaosema kua Makuhani wapinge sera na taratibu zote za Serikali...
Kumbuka ata wewe unaweza kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge ata kama sio mbunge kueleza jambo lolote kama ukiitajika.
 
Vifungu vya katiba ambavyo upofu wako haukuviona ndivyo nimetumia.

Vifungu unavyodhani ni hoja yako vitaje wewe na siyo kuishia kuuliza, nani akujibie hoja yako.

Mkuu umetulisha matangopori...ebu taja mstari kwenye Biblia unaosema kua Makuhani wapinge sera na taratibu zote za Serikali...
Kumbuka ata wewe unaweza kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge ata kama sio mbunge kueleza jambo lolote kama ukiitajika.
 
Mkuu nimeona umeweka ibara ya katiba ila vipi umezisoma Standing Order ambazo ndio Mh. Spika atasimama nazo?

Ni kweli katiba ipo juu ya sheria zote ila hapa ulitakiwa upitie Kanuni za Binge/Standing Order ni muhimu sana hapa na ni za lazima kabisa.

Ila pia njia uliyoipendekeza bunge liifanye kumshughulikia Gwajima ni ya ajabu yaani Spika ambaye ni kiongozi wa Mhimili wa Dola akampinge Mbunge kanisani?, Kwani hana ofisi wakati yeye ni ofisi [emoji23][emoji23] Mkuu fikiria upya ili pendekezo lako litazusha vurugu/taharuki kubwa
 
Tena kuna sentence Of very interesting;

Mbona makanisa yamekuwa yakifundisha waumini wake kuwa pombe na sugara ni mbaya ni dhambi waache wakati huo huo serikali ndiko wanakoongoza kwa kukusanya kodi nyingi za mapato ?

Kwanini kwenye korona inaonekana kuwa nongwa?
 
Askofu Gwajima,

Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.

Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.

Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.

Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.

Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.

Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.

Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.

Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.

Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.

Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Huwezi kusema Rais achinjwe ukiwa kanisani hafalu usihojiwe. Wacha uongo, kama hujui kaa kimya.
 
Waumini wake ni wajinga.

Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.

Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.

Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.

Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.

.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio
Yule mdada alotestiwa mitambo na Gwaji Boy atakuwa ni mkeo
 
Back
Top Bottom