Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Watu 10,000 Wanafwatilia Mahubiri Ya Gwajima Live Youtube! Inaonekana Hii Nchi Vifurushi Ni Bei Rahisi Sana, Hivyo Sisi Wananchi Tunaiomba Serikali Ya CCM Iongeze Tozo Kwenye Vifurushi, Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?Waumini wake ni wajinga.
Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.
Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.
Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.
Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.
.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio
Haya, msalimie Kigogo mmoja!CCM kwa CCM mi hata sisemi maana wote ni hovyo
sawa babuHaya, msalimie Kigogo mmoja!
Alijua yule mtu wao wa Chato atakuwa rais mileleHivi yeye alijua anajiunga na CCM kufanya nini? Na bado. SISIEM itamtuma siku moja kwenda kung'oa watu kucha bila ganzi, na hata kuwaweka kwenye viroba. asishangae shangae na kutuzuga sisi wakati yeye mwenyewe ajiingiza kwenye siasa za CCM kichwa kichwa
Suala la dini hata mashahidi wa Uganda utawaita misukule kwa akili yako ya kipumbavu.
Safi sana. Hata mm nimeshampinga Gwajima kwa kwenda kuchanjwa.Askofu Gwajima,
Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.
Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.
Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.
Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.
Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.
Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.
Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.
Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.
Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.
Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Ni tamaa zakeSasa kiongozi wa kiroho anakaaje mahali pasipo na heshima!!
Usifananishe mashahidi wa Uganda na misukule ya Gwajima.Suala la dini hata mashahidi wa Uganda utawaita misukule kwa akili yako ya kipumbavu.
Waumini wake ni wajinga.
Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.
Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.
Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.
Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.
.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio
Jibu hoja acha upimbiEnzi zile anadili na Makonda ulikuwa muumini wake
Wapi nimeandika ni lazima watu wachanjwe?Usizoelee kutukana watu kienyeji hivyo! Ubawa wa mahubiri ya Gwajiboy ni nini?
Kuchanja ni hiari si ndio? Mnataka ndio mzee tu...mkikutana na resistance mnatumia miguvu badala ya akili! Waacheni watz waamue bila kuwalaghai na kuwagiribu kwa misinformation!
Mwanasiasa akikuambia nje giza kitu cha hekima kufanya ni kwenda kuchungulia mwenyewe ujiridhishe😜!
Kwenye ishu ya kuchanjwa Gwajima hanakuja na simulation za kitoto sana.
Kama story za kusimuliwa kijiweni.na kuwapotosha waumini wake kwa maana Asilimia kubwa ya waumini wa gwajima ni la layma
Duh! Kwa jinsi ulivyo-andika Kiswahili chako, bora urudi darasa la kwanza kisha uje kumkosoa Gwajiboy!Kwenye ishu ya kuchanjwa Gwajima hanakuja na simulation za kitoto sana.
Kama story za kusimuliwa kijiweni.na kuwapotosha waumini wake kwa maana Asilimia kubwa ya waumini wa gwajima ni layman
Mkuu umetulisha matangopori...ebu taja mstari kwenye Biblia unaosema kua Makuhani wapinge sera na taratibu zote za Serikali...Askofu Gwajima,
Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.
Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.
Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.
Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.
Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.
Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.
Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.
Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.
Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.
Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Mkuu umetulisha matangopori...ebu taja mstari kwenye Biblia unaosema kua Makuhani wapinge sera na taratibu zote za Serikali...
Kumbuka ata wewe unaweza kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge ata kama sio mbunge kueleza jambo lolote kama ukiitajika.
Huwezi kusema Rais achinjwe ukiwa kanisani hafalu usihojiwe. Wacha uongo, kama hujui kaa kimya.Askofu Gwajima,
Kwanza sikubaliani na wewe katika suala la kukataa chanjo ya Corona kwa kadiri unavyowahubiria waumini wako. Binafsi nimeshachanjwa na ninahimiza watanzania wote wachanje tofauti na unavyohubiri katika kanisa lako.
Hivyo, dawa pekee ya mimi kukupinga ni kwenda kuchanja na hivyo tayari nimeshachanjwa na sitarajii kupata madhara unayohubiri. Hivyo mimi ni mpinzani wako halisi katika mahubiri yako.
Lakini pamoja na kukupinga kwa staili yangu ninalipinga Bunge hatua linazochukua dhidi yako.
Umeitwa kwenye kamati ya Bunge kwamba umesema uongo na kushusha heshima ya bunge. Hapa mimi nakutetea kwa hoja zifuatazo.
Ulichokitoa kanisa kwako ni mahubiri kwa waumini wako. Waliandamana kutoka nyumbani wakakufuata kanisani kukusikiliza.
Ulisema vizuri kwamba unazungumza kama mtu wa Mungu na si kama mbunge wa Kawe.
Hivyo, ukifika kwenye kamati ya bunge kwanza waulize wanakutuhumu kwa kauli uliyoitoa wapi. Wakisema ni yale ya kanisani kwako kataa katakata kujibu lolote, waeleze mipaka yao kwamba dola ya Tanzania haina mamlaka ya kukuchagulia mahubiri na haina mamlaka na jambo la kidini.
Waambie wasome ibara ya 19(2) ya katiba inayosema kazi ya kutangaza dini siyo ya dola ni yako na wenzako mnaotangaza dini. Hivyo, usijibu chochote waache waamue wanachokitaka.
Kama wabunge wanakupinga waende kwenye makanisa yao na misikiti yao wafanye tofauti kama nilivyofanya. Mimi nimekupinga kwa kwenda kuchanjwa na ninahamasisha wengi kuchanjwa.
Hivyo, fanya kadiri ya maelekezo yangu, ukiwaacha kesho watafanya kwenye kanisa jingine kwa hoja tofauti.
Yule mdada alotestiwa mitambo na Gwaji Boy atakuwa ni mkeoWaumini wake ni wajinga.
Mtu kaiba kura mchana kweupe lakini mazombi bado yanamsikiliza.
Kuhusu chanjo anatakiwa achague kati ya ccm au kanisa la kitapeli,aache kimoja.
Mimi siamini siku ile kuwa yule Samia alichanjwa kweli,imekaa kisanii sana jinsi alivyochanjwa.
Gwajima ni tapeli lao walilolisaidia kuingia bungeni.
.Kawe wana bahati mbaya,gwajiboy na mzee mdee wote ni makalio