Bunge halina mamlaka kumhoji Askofu Gwajima alichoongea na waumini wake

Na kuwekeana sumu kama kilivyofanya kwa Mangula
 
Yeye hakuiba kura ila chama chake! na ndicho pia kinachomsulubu, so cheni feki na hela feki ngoma inogile!!
 
ALijua kuwa ubunge wake umetokana na wizi,kwanini hakuukataa?
 
Waliomhoji gwajiboy walifanya hivyo ili wapate sitting allowance tu halafu wasikie Mambo ya ndaani ndani kabisa ya waziri.
Hawawezi kumfanya chidboy chochoote
 
Yaani hapa Gwajima ndioalijimaliza kabisa hata Kama alikuwa mtumishi wa kweli wa Mungu ndipo alipomsaliti Mungu wake kwa kupitia mabox ya kura fake hanatofauti na Yuda sikarioti aliyemsaliti Bwana Yesu kwa vipande therathini vya fedha.
 
Mtu asiye na kinga, ambayo ni chanjo, akiugua corona anaweza kuambukiza wengine ambao wanaweza kufa pamoja na yeye mwenyewe. Kwahiyo hili sio suala la dini au imani; ni sayansi.
Hata serikali inakosea kusisitiza uhiari wa chanjo. Ni hatari.
Ni wajibu wa serikali kulinda afya na uhai wa raia WOTE, pamoja na hao wanaotaka kujiua na kuuwa wengine.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…