Jiwe_Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 416
- 807
Mawazo mazuri ila unayapeleka kwa watu ambao sio sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kauli hii tu, bandiko lako linakosa tija.uchaguzi umekwisha, aliyeshinda ameshinda kwa haki na kihalali, aliyeshindwa ameshindwa kwa haki na kihalali
Mkuu hivi Act wamepata majimbo mangapi?Wala halina hali mbaya. Nchi itapata maendeleo. Magufuli atapeleka maendeleo sehemu zote za nchi isipokuwa majimbo machache tu ya CHADEMA, ACT na CUF. Hakuna haja ya kusikitika. Tushangilie. Tanzania inakwenda kuwa kama Ulaya.
Post yako imejaa contraditions.
Magu ni zee kura zenye mabegi.Magufuli hajashinda kwa kishindo Bali kapata ushindi wa LUSHINDO
Mkuu Mwarobaini, Quinine , kambi rasmi ya upinzani ipo kisheria, ila ili iundwe rasmi, lazima kuwemo na akidi ya asilimia 12.5 ya wabunge wote ambao ni wabunge 44. Kwa idadi ya wabunge 4 tu wa kuchaguliwa kutoka upinzani, hata ukiwapa wabunge 20 wa viti maalum, bado akidi haitatimia, watu wawili pekee wenye uwezo wa kuteua wabunge ni Rais wa JMT kwa wabunge 10, na rais wa Zanzibar kwa wawakilishi 10, ambapo wanaweza kuja Bunge la JMT.Nilifikiri kambi rasmi ya upinzani iko kisheria kumbe inategemea huruma ya mtu mmoja, Watanzania tuna safari ndefu sana.