mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Hata Mie .Me too mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mie .Me too mkuu
Mkuu lengo la CCM limetimia "kuufuta upinzani" sasa sijui kama bwana Paskali hoja yako itasikizwa.
Ni kweli kwani maisha hayataenda? Mwl.nyerere alituongoza kupitia mfumo huo na maisha yakaenda.Inaumiza sana kuwa na upinzani umaolifanyia udalali nchi yetu, upinzani uliotayari kupiga bei nchi.Hatuhotaji bora mfumo wa chama kimoja na rasilimali zetu xikabaki salamaMawazo mazuri sana, tena sana. But wao CCM waliona bora njia hii waliyotumia kuliko hiyo ambayo unawaza kaka yangu Paskali.
Wao wanataka upinzani ufe, na sio ufe tu but Tanzania mzima kusiwe na mtu mwenye mawazo mbadala.
Watu wote tuwe na wazo moja la mirad mikubwa, sisi inchi Tajiri, tunaonewa wivu na Wazungu, madaraja, flyover Yan watu wote tuwe na lugha moja.