CCM mlichokifanya sijui kama mwanzoni mlifikiri kuhusu hilo ! Katibu Mkuu wenu alijinasibu waziwazi mtakachokifanya kwa kutumia dola na kweli mkakifanya mkidhani watu hawatoona au watanzania ni wale wa Zama za TANU huku wewe mwenyewe ukikiri CDM ikihitahidi itapata mbunge mmoja
Kuna mwalimu wangu aliniambia zamani usije ukamuamini mtu asiyependa ushindani! Ni muoga hata mafanikio yake ni ya uongo ! Kwa akili yangu siamini wahitimu,wastaafu ,watumishi ,wastaafu na wafanyabiashara waliamua kuchagua mateso kwa miaka mingine 5 ! Mlichokifanya ikiwemo kuzima mtandao mnayajua hatupaswi kujiuliza tena! Kigogo alishawaambia acheni kutafuta solution fupi kwa matatizo ya kudumu
Mwisho niseme sasa ni wakati wa mavuno kwanini nasema hivi na kwanini wanaccm mmeanza kuweweseka ni kutakapotokea hoja tata nani wa kupinga hata kama zinawaumiza nyie wenyewe ilhali mliozoea kuwatanguliza na kuwaita "wapingaji wa maendeleo " hawapo tena ! Jibu ni kuwa kama nyie ni familia moja mkiua majirani wakaisha basi mtabaki famiilia moja ndipo wivu baina yenu utaanza nanyi mtamalizana kama mlivyowamaliza majirani! Kwa rai yangu wapinzani wakae pembeni sasa nanyi mvune mlichopanda tutarajie watu kuitwa "washamba" live this time...!
Kuna mwalimu wangu aliniambia zamani usije ukamuamini mtu asiyependa ushindani! Ni muoga hata mafanikio yake ni ya uongo ! Kwa akili yangu siamini wahitimu,wastaafu ,watumishi ,wastaafu na wafanyabiashara waliamua kuchagua mateso kwa miaka mingine 5 ! Mlichokifanya ikiwemo kuzima mtandao mnayajua hatupaswi kujiuliza tena! Kigogo alishawaambia acheni kutafuta solution fupi kwa matatizo ya kudumu
Mwisho niseme sasa ni wakati wa mavuno kwanini nasema hivi na kwanini wanaccm mmeanza kuweweseka ni kutakapotokea hoja tata nani wa kupinga hata kama zinawaumiza nyie wenyewe ilhali mliozoea kuwatanguliza na kuwaita "wapingaji wa maendeleo " hawapo tena ! Jibu ni kuwa kama nyie ni familia moja mkiua majirani wakaisha basi mtabaki famiilia moja ndipo wivu baina yenu utaanza nanyi mtamalizana kama mlivyowamaliza majirani! Kwa rai yangu wapinzani wakae pembeni sasa nanyi mvune mlichopanda tutarajie watu kuitwa "washamba" live this time...!