Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,773
Reaction score
6,349
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Duuuh.... Nimekuta habari kama hii Twitter..... Hivi wakihariri si CAG ata upload the original report kwenye website yake muda ukifika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo kasoro kwanini ziondolewe wakati si yeye aliyeandika hiyo ripoti? Huko ni kuingilia mamlaka ya CAG kama ni kweli na ni uvunjaji wa katiba ambao unaweza kumpandisha kizimbani.

Huyo nduli si CAG hivyo hana mamlaka ya kufuta au kuongeza chochote kile.

Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
 
Kwani hata wakifanya editing itawasaidia nini?
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua

In God we trust
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
CAG kamkabidhi report Rais, Then Rais ndo awapatie Bunge.

Sasa bunge likigoma kupokea report linakua linamgomea nani??
 
Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
Kama ulikua hujaelewa mpaka unauliza maswali, kwa nini tena umehitimisha kua "sio Kweli?"....
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Mkuu, kwani leo si ndio siku ya 7? muda wa kupeleka ripoti huyu jamaa si umeshapita?
 
Audit report is a legal document no one has authority to temper with anything in that report.
Ndio namshangaa anawalisha watu matango pori sizani kama CAG anaweza kukubali uo ujinga atajizulu maana ndiye atakayeenda kuisoma bungeni yaani aende kusoma takataka sizani!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom