Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Hawawezi kuthubutu kihariri upya report ya CAG kwa sababu soft copy ya report original itasambazwa kwa kasi ya moto wa nyika na iatkuwa ni skando ya karne. Subiri uone!
Watapelekwa wale watu wa tiss nyumban kwa assad na kuondoka na kila kitu,ushahidi kutakuwa hamna,inzi wa kijani huwa hawashindwi ikibidi hata kumuuwa assad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
CCM ni zaidi ya uijuavyo, ukiambiwa magufuli kichaa amini. Mimi nilikuwa siamini hadi alipoanza kununua madiwani na wabunge wa CHADEMA ndio nikajua hamnazo, hapo ndio urafiki wangu na magufuli ulikufa. Tulimtetea kweli magufuli humu jf ila tukawa tunaambulia aibu. Mwisho tukabadili id maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni zaidi ya uijuavyo, ukiambiwa magufuli kichaa amini. Mimi nilikuwa siamini hadi alipoanza kununua madiwani na wabunge wa CHADEMA ndio nikajua hamnazo, hapo ndio urafiki wangu na magufuli ulikufa. Tulimtetea kweli magufuli humu jf ila tukawa tunaambulia aibu. Mwisho tukabadili id maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habebeki. Bora kumuachia zigo lake.
Unaokoa milioni 100 eti za kupaka rangi ndege unaenda kurubuni Nassari ajiunge CCM na unatumia billion 1 kwa uchaguzi tena.
 
CAG kamkabidhi report Rais, Then Rais ndo awapatie Bunge.

Sasa bunge likigoma kupokea report linakua linamgomea nani??

Bunge linavunjwa na Rais kama katiba inavyosema na hapo ndipo Rais ataelekeza uchaguzi ufanyike upya(election) ndiyo vilio na nderemo kwani siyo rahisi hao wabunge kurudi bungeni, wananchi na CCM itapeleka bungeni vijana kama Mhe Makonda, Hapi, Bashe, bungeni!![emoji38][emoji38][emoji38] wait and see!
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!

My friend this is what we call “day dreaming” CCM is there to stay! just like the Communist Party of China. The President Dr Magufuli has revived the party and it is now in safe hands as Dr is in fact Mwl Nyerere II. The opposition missed their golden chance of seizing power in 2015, believe me or not such opportunity will never come back in the near future, possibly after 40 years! Remember if Eddy and Chadema in collaboration with CUF had clinched the Presidency that would have been the end of The Republic of Tanzania and formation of Independent Zanzibar since Maalim wanted Zenj to have its own UN representative, it’s own 9 member representatives in the EAC.!!!! as per CUF constitution.
 
CAG kamkabidhi report Rais, Then Rais ndo awapatie Bunge.

Sasa bunge likigoma kupokea report linakua linamgomea nani??
Hakuna mtu atagoma kupokea ripoti jamani.. mnapata pressure ya bure tu...
 
Absolutely kutawala kwake sijui Kama hiii nchi haitaingia
machafuko

Mambo Yake Ni ya ajabu ajabu kwakweli Kisha analazimisha aonekane anapendeka ....
Kutuona watz milioni 50 Ni wapimbavu kupitiliza... Bill kujua WAPUMBAVU pekee Ni Wana lumumba aliowaajiri kubwabwaja humu mtanaoni
Huyu Pombe ni janga kwa Taifa tena ni laana katika taifa letu.
Na watu wa vijijini huko ambao wengi maisha yao Ni duni kwamba ikifika uchaguzi akipitisha ubwabwa mbichi maharagwe na kofia na kanga zenye sura ya mgombea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora ya jk[emoji23][emoji23][emoji23] wanasahau shida zao kwa muda wanapiga kura.... Pamoja na goli la mkono.... Vinginevyo hakubaliki Wala nini
Screenshot_20190312-124336.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi siku saba zinaisha lini wakuu natamani kuona bunge linakula matapishi yake lema na mdee wanarudi kwa kifua mbele baada ya CAG kuonekana alikua sahihi
Tena kweli umefikiria mbali mkuu,kwa maana hiyo wataondolewa adhabu hao akina Lema??
 
Shame shame huwezi amini CCM wamekosa mwelelekeo kiasi hiki, kwa kumgomea CAG ni kwa manufaa ya nani? Kweli inaonyesha Bunge ni dhaifu kama inatoka kwenye mstari kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom