HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 549
Time will tell
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri mimi mfuasi wa Lissu kuliko wewe mfuasi wa NdugaiKwenda zako wewe mzushi na mfuasi wa li-lissu.
Ccm ni ukoo wa panya hamna msafi majizi yote yapo huko
Watapelekwa wale watu wa tiss nyumban kwa assad na kuondoka na kila kitu,ushahidi kutakuwa hamna,inzi wa kijani huwa hawashindwi ikibidi hata kumuuwa assad.Hawawezi kuthubutu kihariri upya report ya CAG kwa sababu soft copy ya report original itasambazwa kwa kasi ya moto wa nyika na iatkuwa ni skando ya karne. Subiri uone!
CCM ni zaidi ya uijuavyo, ukiambiwa magufuli kichaa amini. Mimi nilikuwa siamini hadi alipoanza kununua madiwani na wabunge wa CHADEMA ndio nikajua hamnazo, hapo ndio urafiki wangu na magufuli ulikufa. Tulimtetea kweli magufuli humu jf ila tukawa tunaambulia aibu. Mwisho tukabadili id maisha yanaendelea.Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
Mkuu habebeki. Bora kumuachia zigo lake.CCM ni zaidi ya uijuavyo, ukiambiwa magufuli kichaa amini. Mimi nilikuwa siamini hadi alipoanza kununua madiwani na wabunge wa CHADEMA ndio nikajua hamnazo, hapo ndio urafiki wangu na magufuli ulikufa. Tulimtetea kweli magufuli humu jf ila tukawa tunaambulia aibu. Mwisho tukabadili id maisha yanaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
CAG kamkabidhi report Rais, Then Rais ndo awapatie Bunge.
Sasa bunge likigoma kupokea report linakua linamgomea nani??
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
Weeee upo dunia gan mbn una fikiria kama upo mwaka 1992Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
Hakuna mtu atagoma kupokea ripoti jamani.. mnapata pressure ya bure tu...CAG kamkabidhi report Rais, Then Rais ndo awapatie Bunge.
Sasa bunge likigoma kupokea report linakua linamgomea nani??
C imehaririwaHakuna mtu atagoma kupokea ripoti jamani.. mnapata pressure ya bure tu...
Hatupati presha yoyote We Mzee,Hakuna mtu atagoma kupokea ripoti jamani.. mnapata pressure ya bure tu...
Na watu wa vijijini huko ambao wengi maisha yao Ni duni kwamba ikifika uchaguzi akipitisha ubwabwa mbichi maharagwe na kofia na kanga zenye sura ya mgombea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bora ya jk[emoji23][emoji23][emoji23] wanasahau shida zao kwa muda wanapiga kura.... Pamoja na goli la mkono.... Vinginevyo hakubaliki Wala niniHuyu Pombe ni janga kwa Taifa tena ni laana katika taifa letu.
Ni kweli mbona ripoti inasuasua v8ta ya Nini mtu yeyote asiyekubali kukaguliwa Ni mwiziKwenda zako wewe mzushi na mfuasi wa li-lissu.
Ukute sasaivi ndo tunaibiwa kuliko wakati wowote ule."Watanzania tumeibiwa saanAA"...
VP CHATTLE AIRPOT !?? HAIMO HUMO!??
Wanaweza nchi hii inabadilisha matokeo ya kura za uraisi iwe tipotiHawawezi kuthubutu kihariri upya report ya CAG kwa sababu soft copy ya report original itasambazwa kwa kasi ya moto wa nyika na iatkuwa ni skando ya karne. Subiri uone!
Tena kweli umefikiria mbali mkuu,kwa maana hiyo wataondolewa adhabu hao akina Lema??Hivi siku saba zinaisha lini wakuu natamani kuona bunge linakula matapishi yake lema na mdee wanarudi kwa kifua mbele baada ya CAG kuonekana alikua sahihi