Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Mpaka sasa sijaamini au kukubali kuwa No. 1 anapambana na rushwa au Ufisadi.

Anachofanya kikubwa ni kusimamia utekelezaji wa miradi yake vizuri.
 
Ccm ni ukoo wa panya hamna msafi majizi yote yapo huko
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2020 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
Audit report is a legal document no one has authority to temper with anything in that report.


That is it legally, but how many times have we experienced how they tempered with the constitution !!?, the same thing could happen to the report.

They are fearless, lawless persons,they can do whatever they desire. Pinning the CAG by the parlliement is an example.
 
Very true Mkuu. Oh! God I am so worried in what is going on in our beloved country.

That is it legally, but how many times have we experienced how they tempered with the constitution !!?, the same thing could happen to the report.

They are fearless, lawless persons,they can do whatever they desire. Pinning the CAG by the parlliement is an example.
 
Hivi siku saba zinaisha lini wakuu natamani kuona bunge linakula matapishi yake lema na mdee wanarudi kwa kifua mbele baada ya CAG kuonekana alikua sahihi
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Kwani Tundu Antipas Lisu huko nje analipiwa na serikali matibabu yake?!
 
Very true Mkuu. Oh! God I am so worried in what is going on in our beloved country.


We have to keep on praying that
Almighty God may save our beloved Country from the diabolical clutches of lawlessness nature of these people.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mpaka sasa sijaamini au kukubali kuwa No. 1 anapambana na rushwa au Ufisadi.

Anachofanya kikubwa ni kusimamia utekelezaji wa miradi yake vizuri.
Hapambani na rushwa. Anachota kupitia miradi hiyo hiyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Kimbelembele tuu! Ha ha ha ha umetisha mkuu sema mzee wa kupiga rungu nmeona kama hayupo vile yupo kwa Dr Slaa mambo ya uwekezaji anakwepa ili hata wakipokea aseme sio yeye kweli sinema iendelee tutalipa kiingilio ikiisha
 
Sizani kama umeongea ukweli maana umeongea kisiasa report ya CAG ikiisha sainiwa haiwezi kubadilishwa sasa wanabadilisha wakina nani unamanisha CAG anachezea report yake ? Sio kweli
Ndg yangu CAG anatishiwa maisha wewe unazungumza vitu vidogo kuhusu Ku edit report. Bado upo usingizini wewe. Simply wananyofoa wasivyovitaka. Yeye kagoma Ku edit chochote
 
Back
Top Bottom