Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndg yangu CAG anatishiwa maisha wewe unazungumza vitu vidogo kuhusu Ku edit report. Bado upo usingizini wewe. Simply wananyofoa wasivyovitaka. Yeye kagoma Ku edit chochote
..... Kutakuwaje na chama mbadara kama wanachama wenyewe ndio nyie mnaikumbatia ccm ata kama inanuka ufisadiMpaka sasa hatuna chama mbadala zaidi ya CCM...
"Watanzania tumeibiwa saanAA"...
VP CHATTLE AIRPOT !?? HAIMO HUMO!??
Sahz wenzako wAnaedit report ya Assad kule feri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]itasomwa tofautiAisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.
Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.
Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.
Tuendelee kusubiri.
Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Yeah apotee wata mmaderDuuuh.... Nimekuta habari kama hii Twitter..... Hivi wakihariri si CAG ata upload the original report kwenye website yake muda ukifika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda zako wewe mzushi na mfuasi wa li-lissu.Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.
Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.
Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.
Tuendelee kusubiri.
Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Hawawezi kuthubutu kihariri upya report ya CAG kwa sababu soft copy ya report original itasambazwa kwa kasi ya moto wa nyika na iatkuwa ni skando ya karne. Subiri uone!Waki edit si itatofautiana na ya CAG ? Nawaza tu
Na wala hatutaweza kuwa navyo mpaka ccm iondoke. Kwa kuwa CCM ndio sababu hatuna vyama mbadala kwa kuwa inahakikisha havukuwi.Mpaka sasa hatuna chama mbadala zaidi ya CCM...