Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Tetesi: Bunge kutengua azimio lake kesho na Jumatano kupokea ripoti ya CAG(?)

Ndg yangu CAG anatishiwa maisha wewe unazungumza vitu vidogo kuhusu Ku edit report. Bado upo usingizini wewe. Simply wananyofoa wasivyovitaka. Yeye kagoma Ku edit chochote


The CAG is a God fearing person and he abides by the oath he took during the sworn in ceremony-- he held aloft Holy book, the Qur'an and implored for God's help in his endevouirs.
 
Kumbe ndo maana wabunge wa upinzani walihamia CCM ili kuunga mkono juhudi.

Ila, hata wakihariri hiyo ripoti, wapo wabunge wataulizia tu mambo fulani, ambayo yamefanyika ndani ya nchi kinyume cha utaratibu. Hauwez kuficha moto kweny kichaka.

Sasa, jaribu kujiuliza, endapo bunge lingekuwa na wabunge wa chama kimoja, je, hiyo ripoti hata ingeenda bungeni si ingekuwa inajadiliwa kwa mazuri tu.

Mfumo wa vyama vingi una faida nyingi kuliko hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Sahz wenzako wAnaedit report ya Assad kule feri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]itasomwa tofauti
Screenshot_20190408-002139.jpeg
Screenshot_20190408-071549.jpeg
Screenshot_20190408-192117.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pro Asad nakuomba sana uwe makini kwa kila hatua na ukiona wame edit jitojeze hadharani kuusema ukweli, sisi wananchi tunakutegemea wewe kwa sasa.
 
Wakithubutu kufanya hivyo mambo yatakuwa mabaya kuliko tunavyofikiri, Asad ni mtu smart anajielewa hawezi kuyumbishwa na hawa panya.
 
Aisee mambo yamepamba moto.
Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu.
Vyanzo vya kuaminika kabisa vinasema Rais ameshauriwa aipeleke ripoti bungeni ndani ya muda maana wamesema asipofanya hivo CAG Prof. Assad mwenyewe ataipeleka na hapo watu wataamini azimio ni lake.

Kibaya ni kwamba bwana mkubwa sasa kaagiza ripoti irekebishwe na kuondolewa kasoro kubwa zote alizobaini CAG ndo apeleke bungeni ripoti iliyohaririwa.
Kazi ya kuhariri inaendelea kwa kasi huko.

Ununuzi wa ndege, ujenzi wa Dodoma, utaratibu wa tender, matumizi nje ya bajeti na matibabu ya viongozi nje ya nchi ni pasua moyo.

Tuendelee kusubiri.

Mwana JF kuwa wa kwanza kujua
Kwenda zako wewe mzushi na mfuasi wa li-lissu.
 
Waki edit si itatofautiana na ya CAG ? Nawaza tu
Hawawezi kuthubutu kihariri upya report ya CAG kwa sababu soft copy ya report original itasambazwa kwa kasi ya moto wa nyika na iatkuwa ni skando ya karne. Subiri uone!
 
Noma sana yani mchukia rushwa ndio anaongoza kula rushwa yeye na watu wake wa karibu,siku hizi hata akihutubia huwezi sikia anaongelea rushwa mana yeye ndio konki wa kutupiga kuliko awamu za jk na mkapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tannzania nchi mbaya sn ivi kuna mantiki gani ripot kwanza ikabidhiwe kw rais?? maana yk ni nn hasa, kwann isiende bungen direct??
 
Back
Top Bottom