Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Tanzania Mungu anaipenda sana Wako wachache ndani ya ccm wanaotaka kumwaga damu za wengi pasipo sabubu...ati uchaguzi unarudiwa na wagombea walele wakiwapo wa cuf waliogomea uchaguzuli huo. Huu nu uhuni....zaidi sana wakighaidi
 
Wadau habari nilizopata kutoka Dodoma hivi punde ni kuwa siku ya Jumanne Bungeni Dodoma moto utawaka kwani kuna hoja itatolewa ya kujadili suala la Zanzibar kama suala la dharura na kuwa shughuli zingine zisiendelee mpaka hilo lipatiwe ufumbuzi kwanza.

Hoja hiyo pamoja na kutoka upinzani lakini habari ni kuwa wapo wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono bila kujali mikakati waliyopewa kikao cha Kinana majuzi.

Wabunge hawataki uvunjifu wa amani utokee ndio eti hatua zichukuliwe, kwani kimya cha watu visiwani sio kuwa hali ni shwari.

Nimeileta kama nilivyoisikia kutoka reliable source
safi sana. maamuzi ya wazanzibar yaheshimiwe. tofauti na hapo taifa hili halitafika kokote.
 
Tunawaomba wabunge wetu wote simamieni ukweli bunge lisijadili chochote mpaka hatima ya zanzibar ijulikane.. Nchi haiwezi kuendeshwa kihuni kisa siasa na maslahi ya Ccm.
 
Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....

Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu

Poor you.Hakuna nchi inayoitwa Tanganyika wewe uko Dunia Ipi. Zanzibar mpaka itakapojitenga ndio unaweza ukadai unachodai vinginevyo ukitaka usipotaka unahusika na mgogoro wa zanzibar.
 
Na
Amani ikivurugika Zanzibar hayo yote uliyoyaainisha hapo juu yatakua si lolote kwani bila Amani na Utulivu huko Visiwani hakuna kitakachofanyika huku Bara.
Nani kakwambia? Mara ngapi wameuana Zanzibar wakati Kawe na Mbagala wanaendelea na kazi zao. Wangapi kule Tarime na Chunya wanafahamu hata Zanzibar ni mnyama gani? Au unataka kusema vijana wa CUF watakuja kufanya fujo huku Bara; si watapigwa?
 
Wadau habari nilizopata kutoka Dodoma hivi punde ni kuwa siku ya Jumanne Bungeni Dodoma moto utawaka kwani kuna hoja itatolewa ya kujadili suala la Zanzibar kama suala la dharura na kuwa shughuli zingine zisiendelee mpaka hilo lipatiwe ufumbuzi kwanza.

Hoja hiyo pamoja na kutoka upinzani lakini habari ni kuwa wapo wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono bila kujali mikakati waliyopewa kikao cha Kinana majuzi.

Wabunge hawataki uvunjifu wa amani utokee ndio eti hatua zichukuliwe, kwani kimya cha watu visiwani sio kuwa hali ni shwari.

Nimeileta kama nilivyoisikia kutoka reliable source
habari hii imekaa poa sana
 
Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....

Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu
Ni lini mlijitenga na Zanzibar
 
Mkuu yehoyada Kama usemavyo ni kweli kwa nini wale wabunge watano watokanao na baraza la wawakilishi hawapo? Maana bao ni sehemu ya wabunge WA Bunge la JMT. Usiongee mbele ya watu hivyo utachekwa Mkuu!

Wale wabunge wa Zanzibar kazi yao ni kushughulikia na kupeleka bungeni mambo ya muungano ya upande wa Zanzibar kwenye bunge la muungano.Kazi yao si kushughuklia mambo yasiyo ya kimuungano au kubeba hoja za mambo yasiyo ya kimuungano na kuyapeleka bungeni.Kazi ya kushughulikia mambo yasiyo ya kimuungano ni ya wajumbe wa baraza la wawakilishi ambao huyachukua na kuyapeleka baraza la wawakilishi.Hilo la uchaguzi wa Zanzibar halimuhusu kabisa mbunge wa Zanzibar aliyeko bunge la muungano.Umeelewa????
 
Tunawaomba wabunge wetu wote simamieni ukweli bunge lisijadili chochote mpaka hatima ya zanzibar ijulikane.. Nchi haiwezi kuendeshwa kihuni kisa siasa na maslahi ya Ccm.
Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Wazanzibari walilikataa na halimo kwenye katiba ya muungano.Ni la wazanzibari wenyewe.Bunge likilijadili litakuwa limevunja katiba kulijadili jambo ambalo si la muungano
 
Back
Top Bottom