bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,773
- 1,460
Lazima ijadiliwe na Serikkali ya Magufuli isiruhusiwe kutoa fedha za kurudia uchaguzi.
Maana balozi safari za ikulu haziishi....fedha za kodi za bara zisitumike kabisa kwenda kuleta mifarakano...kama wanazo zao ccm unguja sawa wao hawana bunge kuna sultam shein
Maana balozi safari za ikulu haziishi....fedha za kodi za bara zisitumike kabisa kwenda kuleta mifarakano...kama wanazo zao ccm unguja sawa wao hawana bunge kuna sultam shein