Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Kuna kitu hujijui kuhusu sheria ya uchaguzi.Kazi ya tume ni pamoja na kujumlisha matokeo.Huwezi kulala na hawara yako kitandani ukachukua matokeo toka vituoni na kuanza kujijumlishia na hawara yako halafu uende kutangaza kuwa kwa mujibu wangu na hawara yangu matokeo tuliyojumlisha ni haya! Tume itoe ya kwao ilinganishe na yale tulliyojumlisha kitandani na hawara yangu!!!!!! Tume ndie mjumlishaji pekee anayetambulika kisheria sio MHaini SEIF au mtu mwingine yeyote.

Tume ingetoa yake kwanza ndipo kama ana dispute yeye ndie alinganishe matokeo yake na ya tume sio tume ilinganishe matokeo yake na Yale ya Seif SHARRIF HAMAD.Mgombea hawezi kuwa yeye mpigiwa kura,mhesabu kura na mjitangaza mwenyewe kama mshindi ndicho Seif ALICHOFANYA.
Acha ujanja wa kitoto huwezi kuni quote post yangu kwa kuchukua mistari miwili uliyoipenda ili upotoshe na mambo yako ya uhawara.
Hilo ungemuuliza Jecha, jee unawezaje kulala na hawara yako kada wa ccm na akakuambia kesho kafute uchaguzi nawe unafuta wakati mamlaka huna?
 
Wabunge wa Zanzibar wana haki kabisa ya kuuliza kulikoni bungeni halafu wengine watachangia! La sivyo Muungano hakuna.
 
Amani ikivurugika Zanzibar hayo yote uliyoyaainisha hapo juu yatakua si lolote kwani bila Amani na Utulivu huko Visiwani hakuna kitakachofanyika huku Bara.
...nani kasema?tutasikitika kwa yatakayotokea, lkn kama kawa tutakula,kunywa,lala, na kwenye tutaendelea kukutana....msitutishe kwenye upuuzi wenu!
 
Kuna kitu hujijui kuhusu sheria ya uchaguzi.Kazi ya tume ni pamoja na kujumlisha matokeo.Huwezi kulala na hawara yako kitandani ukachukua matokeo toka vituoni na kuanza kujijumlishia na hawara yako halafu uende kutangaza kuwa kwa mujibu wangu na hawara yangu matokeo tuliyojumlisha ni haya! Tume itoe ya kwao ilinganishe na yale tulliyojumlisha kitandani na hawara yangu!!!!!! Tume ndie mjumlishaji pekee anayetambulika kisheria sio MHaini SEIF au mtu mwingine yeyote.

Tume ingetoa yake kwanza ndipo kama ana dispute yeye ndie alinganishe matokeo yake na ya tume sio tume ilinganishe matokeo yake na Yale ya Seif SHARRIF HAMAD.Mgombea hawezi kuwa yeye mpigiwa kura,mhesabu kura na mjitangaza mwenyewe kama mshindi ndicho Seif ALICHOFANYA.
Kwa hiyo Alichofanya January Makamba kutangaza kuwa CCM ingeshinda majimbo 176 kabla Lubuva hajatangaza kina tofauti yoyote na alichokifanya Maalimu Seif.... Halafu jiulize...
1. Kwa nini huku bara huwa hakunagana majadiliano kuhusu uchaguzi kabla ya kutangazwa lakini Zanzibar miaka yote huwa yanakuwepo..???
2. Hivi mwenye ruhusa ya kufuta uchaguzi ni Mwenyekiti wa TUME ya uchaguzi au tume ya uchaguzi..??
3. Kwa nini Jecha hakuonekana mara baada ya kutangaza kufuta uchaguzi..???
4. Chama gani kililalamika kuwa uchaguzi haukuwa kuru na haki..???
5. Watazamaji wa kimataifa wote walisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki... aliyoyasema Jecha kayatoa wapi..?? AU watu wake wa tume ndo wamemletea toka huko vituoni..??
 
Bilashaka Utakua ni Uzinduzi bora wa Bunge ndani ya mwaka 2016..

1.Mategemeo kama hiyo hoja itaruhusiwa kujadiliwa ni
1.1/Lugha kali za kuudhi
1.2/Matusi na Kejeli..
1.3/Miongozo bila kikomo
1.4/...........

Kwa spika Ndugai wasitegemee hoja ya Zanzibar kujadiliwa bungeni na uelewe Zanzibar haitakuwa na mwakilishi wao kwenye kikao hicho kwani wale watano waliokuwa wamechaguliwa na uchaguzi kufutwa baadae hawawezi kujumuika bunge la muungano. Hivyo tegemea spika kuwaambia hoja hiyo ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar. Wakingangania spika hatakuwa na simile ya kuwatoa nje. Watoe hoja binafsi nyingine ila hiyo hofu ni hiyo.
 
Kwa spika Ndugai wasitegemee hoja ya Zanzibar kujadiliwa bungeni na uelewe Zanzibar haitakuwa na mwakilishi wao kwenye kikao hicho kwani wale watano waliokuwa wamechaguliwa na uchaguzi kufutwa baadae hawawezi kujumuika bunge la muungano. Hivyo tegemea spika kuwaambia hoja hiyo ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar. Wakingangania spika hatakuwa na simile ya kuwatoa nje. Watoe hoja binafsi nyingine ila hiyo hofu ni hiyo.
Wewe hujaelewa, wapo wabunge takribani 50 wa kutoka Zanzibar. Ambao hawapo ni wale wa kuteuliwa na baraza pekee
 
wakati kwingine kabla ya kuandika jarib kuuliza kwanza kanuni za bunge zikoje usikurupuke tu kama unapiga chafya, hlo jambo halijadiliki bungeni, maana uchaguzi wa zanzibar utarudiwa mmependa au hamjapenda ukiwa
 
Wewe hujaelewa, wapo wabunge takribani 50 wa kutoka Zanzibar. Ambao hawapo ni wale wa kuteuliwa na baraza pekee

Nakushukuru Chakaza kwa kunifahamisha tena kwa lugha ya kiungwana ila tatizo nahisi litabakia pale pale kwa spika kukataa bunge kujadili hiyo hoja kwa kisingizio inatakiwa ijadiliwe na tume ya uchaguzi Zanzibar.
 
Acha ujanja wa kitoto huwezi kuni quote post yangu kwa kuchukua mistari miwili uliyoipenda ili upotoshe na mambo yako ya uhawara.
Hilo ungemuuliza Jecha, jee unawezaje kulala na hawara yako kada wa ccm na akakuambia kesho kafute uchaguzi nawe unafuta wakati mamlaka huna?

Nakuunga mkono kwa hilo.
 
kwa idadi ipi ya wabunge wa ukawa wanaweza kulazimisha zanzibar ijadiliwe kwa dharula, mambo ya Zanzibar tuwaachie wao wenyewe si tuendelee na mambo yetu kimbelembele chetu ndio kinawafanya watake hata kupiga kura za kuchagua mameya wakati hilo sio swala la Muungano
 
Watu wanasubiri kufanya uchaguzi wewe unaleta habari ya ukiwa yenu na siasa zenu za mabondeni na maeneo ya wazi.
 
YEHODAYA mbona huna akili kiasi hiki

Amiri mkuu wa Tanzania ni MMOJA TU ambaye ni Rais wa Jamhuri

Rais wa Zanzibar hana jeshi lolote isipokuwa KKKM...Ambalo sio jeshi bali kikosi cha kuzuia magendo

Ficha Upumbavu wako[/QUOTE

Mkuu KKKM Ku Klux Klan Mafia imerudi Zanzibar..?
 
Amani ikivurugika Zanzibar hayo yote uliyoyaainisha hapo juu yatakua si lolote kwani bila Amani na Utulivu huko Visiwani hakuna kitakachofanyika huku Bara.
Nani kakwambia amani zanzibar inavurugika kama siyo umbea wenu mliozoe kwenye vijiwe vyenu vya ukawa zanzibar ipo vizuri salama kabisa ujinga wenu kaeni nao huku.
 
Nakushukuru Chakaza kwa kunifahamisha tena kwa lugha ya kiungwana ila tatizo nahisi litabakia pale pale kwa spika kukataa bunge kujadili hiyo hoja kwa kisingizio inatakiwa ijadiliwe na tume ya uchaguzi Zanzibar.
Mkuu usijali, uungwana ni jadi yangu ila humu kuna watu inabidi uwe kama wao wakati mwingine ili kieleweke. Kuhusu spika kukataa hoja hiyo isijadiliwe nadhani atakumbana na hali ile iliyojitokeza alipokataa kujadili suala la polisi kupiga viongozi wa upinzani Mama Makinda.
Wanachotaka kujadili sio habari ya tume imefanyaje bali hali ya kisiasa ya Zanzibar hasa kwa vile hakuna serikali halali kwa mujibu wa katiba. Na wanao uwezo wa kutumia nguvu ili ijadiliwe na halitakuwa bunge la kwanza duniani kufanya hivyo maana tumeshuhudia mabunge mengine ngumi zikipigwa.
 
Watu wanasubiri kufanya uchaguzi wewe unaleta habari ya ukiwa yenu na siasa zenu za mabondeni na maeneo ya wazi.
Kwanza hata sheria inasema siku 90 Uchaguzi uwe umerudiwa. Hivi siku hizo zinakwisha lini kwa haya magumashi yenu?
 
Wabunge kutoka Zanzibar wanahudhuria bunge na walishaapishwa. Kilichobaki ni kile kinachohusu Zanzibar kama nchi. Maadam Tanzania ina serikali na mambo yanaenda hakuna haja ya kuwa na wasiwasi na issue ya serikali ya Zanzibar. Unless useme kuna maslahi ya kisiasa kama ilivokuwa ule msiba wa mawazo. Kikatiba mnaweza kujadili na kila mbunge wa ukawa anapewa nafasi ya kuongea lakini kiuhalisia mtakuwa mnavunja katiba na kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar. Na chochote mtakachoamua hakina uhalali wa kutumika Zanzibar. Ingekuwa unaongelea issue ya Zanzibar kama Mkoa sawa na mtwara hapo ungeeleweka. Lakini ukiongelea Zanzibar kama nchi huna haki ya kujadili mambo yasiyo ya muungano kwenye bunge la muungano. Mind you this. Halafu hakuna alieapishwa kule wala hakuna aliepewa ushindi na wala hakuna alietangazwa mshindi na zaidi sana hakuna vurugu wala vita. Watu wanaongelea kuhusu kurudia uchaguzi au la. Sasa kufanya vurugu kwenye bunge la muungano ni kuhamasisha vurugu. Ni uchochezi. Ni ujinga na ni siasa za kipumbavu. Mbona wao wa zanzibar hawaongelei issue ya kafulila kudai kaibiwa ubunge wake. Mi naona siasa ni mchezo mbaya ambao lengo lake ni kunufaisha wachache. Ukawa wakifanya vurugu watatolewa bungeni na bunge litaendelea na miswada kibao itapitishwa. Yaan ikifika apo utaona kuwa hakukuwa na haja ya kuwapigia kura wabunge wa ukawa kama tulikuwa na uhakika kuwa lowasa hawezi kushinda Urais. Kuna tofauti kati ya mawazo ya watu na sheria inavosema. Ni hivi. Nchi huwa haziongozwi na mawazo tu ya watu. Watu wamelala na mahawala zao uko then tuamke asubuhi tusikie sheria imebadilika. Tunaongozwa na sheria na ili kubadilisha kuna taratibu zake. Wabunge wa ukawa wanatakiwa wawe makin katika hayo na mengine makubwa sio kufanya vurugu kwa sabb za kipuuzi ambazo hata kisheria hazikubaliki. Tutabaki nyuma mpaka lini. Inamaana hata matendo yetu tutatenda kwa kuwanufaisha akina lowasa. Hatuwawazii kabisa maskini wanaopata shida ya maji na Chakula wanakula mlo mmoja kwa siku


Yoote hayo unayobwabwaja yana halalisha uwizi wa kura na kudhulumu hata kama umeshindwa ?! Tunaongozwa na Unafiki sio sheria
 
Back
Top Bottom