Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Tetesi: Bunge Kuwaka Moto hadi Zanzibar ijadiliwe kwa Dharula

Kuna watu wanatazama mambo visivyo kabisaaa... YEHODAYA haoni ukuwa jambo hili na anajiona yuko salama kabisa.... JIRANI YAKO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI...

Utie maji kwa kuongozwa na katiba na sheria.Bunge linaongozwa na katiba sio bla bla

Huwezi kukuta jirani mwanaume anapiga mkewe kamvua nguo zote halafu wewe kidume ukaenda kumpiga ngumi yule jirani mwanaume na kukimbia na mkewe aliye uchi ukatokomea naye gizani eti kumwokoa kesho lazima ukutane na kesi kuwa ulifuniwa ukampiga mwenye mke mkakimbia
 
Mambo ya muungano tuliyokubaliana ni ulinzi na usalama.Kuna majeshi ya muungano Zanzibar na yale yasiyo ya muungano.Mfano kuna JKU,KMKM na vikosi vya usalama vya Zanzibar nk.Zazibar pia wana mkuu wa majeshi na polisi, wa nchi ya Zanzibar.Kikiinuka Zanzibar nmkuu wa Jeshi wa Zanzibar na majeshi yaliyo chini yake aweza kiinukisha baada ya kupewa amri na amiri jeshi wa Zanzibar kamanda Shein.Kama akiona ANAHITAJI MSAADA basi amiri jeshi mkuu wa zanzibar aweza kubaliana na mkuu wa Majeshi wa Zanzibar kuwa vikosi vya muungano viingile kumsaidia

Lakini kwenye Swala la uchaguzi wa Zanzibar hauhusu muungano wala bunge la muungano sababu ule ni wa nchi huru ya Zanzibar yenye raisi wake,katiba yake,baraza lake la wawakilishi,jaji mkuu wake na sheria zao ambazo ni tofauti na Tanzania bara mfano mwezi wa Ramadhani mwiko kula barabarani na hotel kuwa wazi na serikali husimamia hilo.

Bunge la muungano kujitosa kujadili mambo ya ndani ya nchi huru ya zanzibar ni uingiliaji na uvunjaji katiba
Maelezo yako yote hapa sio sahihi kabisa. Hapo ndio mnapojichanganywa ccm dhidi ya yale yaliyosemwa wakati ule wa BMK
 
Jecha alifuta Uchaguzi wa wawakilishi na Rais SMZ, wale wabunge wa majimbo wapo humo

Hao wabunge wa Zanzibar ni wawkilishi wa majimbo yao kwa mambo yahusuyo muungano.Hawapo bungeni kwa ajili ya kubeba mambo yasiyo ya muungano ya Zanzibar kuyaleta bunge la muungano.Swala la uchaguzi wa Zanzibar ni la Wazazibari.Hayo yanawahusu baraza la wawakilishi sio Bunge la muungano wa mbunge wa muungano
 
kwani

Vita ikitokea Zenji watasubiri majeshi ya muungano ndo yaende au ni hayahaya tuliyonayo ndo yatahusika?????????????
Zanzibar wana majeshi yao na mkuu wa majeshi kama ambavyo wana jaji mkuu wa Zanzibar.Amiri jeshi wa Zanzibar ni Raisi wa Zanzibar.
Anayejua hali ya amani na Usalama ya zanzibar ni raisi wa Zanzibar na mkuu wa majeshi wa Zanzibar sio BUNGE la muungano au UKAWA
 
Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....

Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu
Ndugu yangu hayo yako ni yakweli ila tatizo ni kwamba ukiona moto unashika kasi kwa jirani nawe wapaswa kuchukua tahadhari hata kama moto haupo kwako lkn hata huo moshi unaofukuta kwa jirani pia unaweza kukuathiri. Tuwaunge mkono kwa hilo kama ni kweli.
 
Kuna watu wanatazama mambo visivyo kabisaaa... YEHODAYA haoni ukuwa jambo hili na anajiona yuko salama kabisa.... JIRANI YAKO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI...
NAHISI KUNA WEEEEEENGI SANA KAMA YEHOYADA HUMU jf WANAOONA MACHAFUKO YA zANZIBAR KAMA MOVIE YA RAMBO NA CHUCKNORIS VILE, WANASAHAU WALE NI NDUGU ZETU KABISA NA MAUMIVU YAO NI YETU, HERI YA WEWE nGALIKHINJA UNAYELIONA HILI.
 
Zanzibar wana majeshi yao na mkuu wa majeshi kama ambavyo wana jaji mkuu wa Zanzibar.Amiri jeshi wa Zanzibar ni Raisi wa Zanzibar.
Anayejua hali ya amani na Usalama ya zanzibar ni raisi wa Zanzibar na mkuu wa majeshi wa Zanzibar sio BUNGE la muungano au UKAWA

NADHANI UTAKUA UNAISHI KENYA MKUU.
 
Zanzibar ni nchi itajitatulia matatizo yake yenyewe walisha jikamilishia wana bendera yao na mamlaka yao
 
Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....

Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu

Hivyo vyote vitakuwa haiva tija bila ya kuwa na amani upande wa pili wa Muungano,kumbuka pia ndani ya bunge litakalo anza kunawawakilishi kutoka ZNZ na ndio maana likaitwa BUNGE LA JAMUHURI WA MUUNGANO nasio BUNGE LA TANGANYIKA.
kukitokea machafuke kule mzigo mkubwa utatuelemea sisi wananchi kwa kuwa kodi na na mzagazaga mengine yatakuwa yanahudumia wakimbizi toka znz
 
Zanzibar ni nchi itajitatulia matatizo yake yenyewe walisha jikamilishia wana bendera yao na mamlaka yao

Mkuu kuna watu wana matatizo wanadhani Zanzibar ni mtoto wa Serikali ya Muungano ILE ni nchi kamili na huru na yenye taasisi zake na uwezo wake yenyewe wa kutatua mambo yake.Watayamaliza wenyewe wenye nchi yao
 
Mkuu kuna watu wana matatizo wanadhani Zanzibar ni mtoto wa Serikali ya Muungano ILE ni nchi kamili na huru na yenye taasisi zake na uwezo wake yenyewe wa kutatua mambo yake.Watayamaliza wenyewe wenye nchi yao
Sio wana matatizo ni kujitoa ufahamu wakati kila kitu kipo wazi hivi visingizio vya jeshi ni maamuzi yao hata wakiweka jeshi lao ni sawa tu sioni kama kunakitu kinawabana kujijengea na jeshi lao
Tuwaache na yao na huku yuaachwe na yetu
 
Mambo ya muungano tuliyokubaliana ni ulinzi na usalama.Kuna majeshi ya muungano Zanzibar na yale yasiyo ya muungano.Mfano kuna JKU,KMKM na vikosi vya usalama vya Zanzibar nk.Zazibar pia wana mkuu wa majeshi na polisi, wa nchi ya Zanzibar.Kikiinuka Zanzibar nmkuu wa Jeshi wa Zanzibar na majeshi yaliyo chini yake aweza kiinukisha baada ya kupewa amri na amiri jeshi wa Zanzibar kamanda Shein.Kama akiona ANAHITAJI MSAADA basi amiri jeshi mkuu wa zanzibar aweza kubaliana na mkuu wa Majeshi wa Zanzibar kuwa vikosi vya muungano viingile kumsaidia

Lakini kwenye Swala la uchaguzi wa Zanzibar hauhusu muungano wala bunge la muungano sababu ule ni wa nchi huru ya Zanzibar yenye raisi wake,katiba yake,baraza lake la wawakilishi,jaji mkuu wake na sheria zao ambazo ni tofauti na Tanzania bara mfano mwezi wa Ramadhani mwiko kula barabarani na hotel kuwa wazi na serikali husimamia hilo.

Bunge la muungano kujitosa kujadili mambo ya ndani ya nchi huru ya zanzibar ni uingiliaji na uvunjaji katiba
Hivi huoni hili la uchaguzi ambalo si la muungano likiachwa litaharibu usalama ambao ni wa muungano..???
 
Mkuu kuna watu wana matatizo wanadhani Zanzibar ni mtoto wa Serikali ya Muungano ILE ni nchi kamili na huru na yenye taasisi zake na uwezo wake yenyewe wa kutatua mambo yake.Watayamaliza wenyewe wenye nchi yao
Hapa ndio mnapojichanganya tofauti na yale mliyokuwa mnakataa kuhusu muungano wa serikali tatu.
Kumbuka wizara za mambo ya ndani na ulinzi ni za muungano na Amiri jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama ni MMOJA TUU naye ni Magufuli.
Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya kumuamuru,kumuwajibisha au kumhamisha hata kumteua kiongozi yeyote wa JWTZ au Polisi aliyeko kule hivyo Bunge linamamlaka ya kujadili shughuli zao za kule. Halina mamlaka ya kujadili KMKM, MAFUNZO au Voluntia
 
Hivyo vyote vitakuwa haiva tija bila ya kuwa na amani upande wa pili wa Muungano,kumbuka pia ndani ya bunge litakalo anza kunawawakilishi kutoka ZNZ na ndio maana likaitwa BUNGE LA JAMUHURI WA MUUNGANO nasio BUNGE LA TANGANYIKA.
kukitokea machafuke kule mzigo mkubwa utatuelemea sisi wananchi kwa kuwa kodi na na mzagazaga mengine yatakuwa yanahudumia wakimbizi toka znz
USIWE MCHOCHEZI WEWE! NANI WAKULETA MACHAFUKO ZNZ KAMA SI WEWE? MAANA UCHAGUZI UTARUDIWA MWEZI MACHI NA RAIS ATAPATIKANA
 
Upo sahihi kabisa. Lakini hali ya usalama ikiwa mbaya ndani ya sehemu ya muungano itakuwa vigumu kuyafanya yote hayo. Hebu ona ya kule Mtwara tuu kuhusu gas yalivyotusumbua! Na Zanzibar kuiacha bila kuijadili na kupata ufumbuzi ni sawa na kuwa na chui ndani ya nyumba ambaye yuko usingizini na kutegemea atalala daima.
Tusikubali nchi yetu sehemu moja ikageuka kama Somalia, ikifikia hapo hatuta weza kuidhibiti bila damu zetu kumwagika

Vigezo gani unatumia kusema hali ya usalama Zanzibar ni mbaya? Nikukumbushe tu, Maalim alipojitangazia ushindi watu walijifungia ndani kwa hofu sababu walijua anataka kuhamasisha vurugu. lakini tangu uchaguzi kufutwa wananchi wamepumua na wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
 
Hapa ndio mnapojichanganya tofauti na yale mliyokuwa mnakataa kuhusu muungano wa serikali tatu.
Kumbuka wizara za mambo ya ndani na ulinzi ni za muungano na Amiri jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama ni MMOJA TUU naye ni Magufuli.
Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya kumuamuru,kumuwajibisha au kumhamisha hata kumteua kiongozi yeyote wa JWTZ au Polisi aliyeko kule hivyo Bunge linamamlaka ya kujadili shughuli zao za kule. Halina mamlaka ya kujadili KMKM, MAFUNZO au Voluntia

Ile mizinga 21 Aliyopigiwa na wanajeshi wa Zanzibar SHEIN wakati wa Sherehe za mapinduzi unafikiri alipigiwa kama nani?
Askari wa muungano walioko Zanziibar wako chini ya Magufuli.Lakini kuna vikosi vya Zanzibar kama nchi vilivyo chini ya Amiri jeshi Shein.Shein ana uwezo wa kumwagiza mkuu wa polisi zanzibar akamate wote wanaokula hadharani mwezi wa Ramadhani .hUKUMWONA mkuu wa majeshi wa Zanzibar Siku ya sherehe ya mapinduzi?
 
Hivi huoni hili la uchaguzi ambalo si la muungano likiachwa litaharibu usalama ambao ni wa muungano..???

Likiachwa na nani? Wanzanzibari wenyewe wako kwenye mchakato wa mazungumzo na kurudia uchaguzi.Liko kwenye process kwenye nchi yao Kutaka kuingilia ndio mwanzo wa uvunjaji katiba wa bunge.Tubaki kwenye katiba na tuheshimiane mipaka iliyoainishwa kwenye katiba.
 
Likiachwa na nani? Wanzanzibari wenyewe wako kwenye mchakato wa mazungumzo na kurudia uchaguzi.Liko kwenye process kwenye nchi yao Kutaka kuingilia ndio mwanzo wa uvunjaji katiba wa bunge.Tubaki kwenye katiba na tuheshimiane mipaka iliyoainishwa kwenye katiba.
Unazungumzia haya mazungumzo ambayo muhusika mkuu kajitoa..??? DALILI MBAYA HIYO... Halafu unaposema wazanzidar wanazungumza, hivi JPM aliyewaita ni Mzazibar...??? Kama ishu ingekuwa uzazinzibar, basi tusingesikia wala kuona watu wa bara wanazungumza....
 
Back
Top Bottom