Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
ZEC yenyewe imeundwa na sheria za bungeBunge linataka kufanya kazi za ZEC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZEC yenyewe imeundwa na sheria za bungeBunge linataka kufanya kazi za ZEC?
Kwani jambo linapojadiliwa kwa dharula, kunakuwa hakuna chombo maalumu kinachopaswa kushughurika na jambo hilo..?? JARIBU KUKUMBUKA YOTE YALIYOWAHI KUJADILIWA KWA DHARULABunge linataka kufanya kazi za ZEC?
Unless uniambie wewe si mtanzania, mtanzania( wa bara na visiwani) hawezi kuongea amani kama sehemu yoyote kati ya bara au visiwani hakuna amani.Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....
Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu
Wadau habari nilizopata kutoka Dodoma hivi punde ni kuwa siku ya Jumanne Bungeni Dodoma moto utawaka kwani kuna hoja itatolewa ya kujadili suala la Zanzibar kama suala la dharura na kuwa shughuli zingine zisiendelee mpaka hilo lipatiwe ufumbuzi kwanza. Hoja hiyo pamoja na kutoka upinzani lakini habari ni kuwa wapo wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono bila kujali mikakati waliyopewa kikao cha Kinana majuzi.
Wabunge hawataki uvunjifu wa amani utokee ndio eti hatua zichukuliwe, kwani kimya cha watu visiwani sio kuwa hali ni shwari.
Nimeileta kama nilivyoisikia kutoka reliable source
Mnapopeleka majeshi nchi za watu, mna muungano nao..??Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge la muungano kulijadili hilo Swala ni kuvunja katiba ya nchi
Bilashaka Utakua ni Uzinduzi bora wa Bunge ndani ya mwaka 2016..
1.Mategemeo kama hiyo hoja itaruhusiwa kujadiliwa ni
1.1/Lugha kali za kuudhi
1.2/Matusi na Kejeli..
1.3/Miongozo bila kikomo
1.4/...........
Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge la muungano kulijadili hilo Swala ni kuvunja katiba ya nchi
Haya ndo maneno yawaelewa, hongera mkuu.acha liwake tu mpaka kieleweke seif kabidhiwe nchi
Swali kuntu!!!!!!!!!!!!!!!!! wasing'ateng'ate majibu hapaMnapopeleka majeshi nchi za watu, mna muungano nao..??
Bunge linataka kufanya kazi za ZEC?
Hayo yote yatapita kama mwarabu alivyopita na Zenji kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii itachukuliwa na Maaalim."Zanzibar Nchi ya kimapinduzi aichukuliwi kwa karatasi"
Huu ni mkwamo...Ulioletwa na Kungang'ania madaraka kwa CCM.....Bunge ni sehemu ya kuihoji serikali ....Hivyo Bunge lina wajibu wa kupata majibu wanapoyahitaji na kuielekeza serikali nini cha kufanya
Pale bungeni kuna uwakilishi wa wananchi wote
Mpango mzima ni ndani ya huo mjengo mkuu.Kitaeleweka tu, haki yanani lazma wakae.Naona vijana wa ukawa wamesha jipanga vya kutosha mkuu
Kinachojadiliwa sio kura ngapi kapata nani au nani ni mshindi. Bali amani ya eneo hilo na jee haki za kikatiba zilizingatiwa katika kufuta Uchaguzi?Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Bunge la muungano kulijadili hilo Swala ni kuvunja katiba ya nchi
ThubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuCCM wajanja sana. Watamwambia jecha atoe tangazo la tarehe ya uchaguzi kabla ya hiyo jumanne.
ZEC WALISHAHSHINDWA NA SASA WAWAACHIE WENYE UZI WAOBunge linataka kufanya kazi za ZEC?
Kuna watu wanatazama mambo visivyo kabisaaa... YEHODAYA haoni ukuwa jambo hili na anajiona yuko salama kabisa.... JIRANI YAKO AKINYOLEWA WEWE TIA MAJI...Sw
Swali kuntu!!!!!!!!!!!!!!!!! wasing'ateng'ate majibu hapa
Mambo ya muungano tuliyokubaliana ni ulinzi na usalama.Kuna majeshi ya muungano Zanzibar na yale yasiyo ya muungano.Mfano kuna JKU,KMKM na vikosi vya usalama vya Zanzibar nk.Zazibar pia wana mkuu wa majeshi na polisi, wa nchi ya Zanzibar.Kikiinuka Zanzibar nmkuu wa Jeshi wa Zanzibar na majeshi yaliyo chini yake aweza kiinukisha baada ya kupewa amri na amiri jeshi wa Zanzibar kamanda Shein.Kama akiona ANAHITAJI MSAADA basi amiri jeshi mkuu wa zanzibar aweza kubaliana na mkuu wa Majeshi wa Zanzibar kuwa vikosi vya muungano viingile kumsaidiaMnapopeleka majeshi nchi za watu, mna muungano nao..??