Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,358
safi sana. maamuzi ya wazanzibar yaheshimiwe. tofauti na hapo taifa hili halitafika kokote.Wadau habari nilizopata kutoka Dodoma hivi punde ni kuwa siku ya Jumanne Bungeni Dodoma moto utawaka kwani kuna hoja itatolewa ya kujadili suala la Zanzibar kama suala la dharura na kuwa shughuli zingine zisiendelee mpaka hilo lipatiwe ufumbuzi kwanza.
Hoja hiyo pamoja na kutoka upinzani lakini habari ni kuwa wapo wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono bila kujali mikakati waliyopewa kikao cha Kinana majuzi.
Wabunge hawataki uvunjifu wa amani utokee ndio eti hatua zichukuliwe, kwani kimya cha watu visiwani sio kuwa hali ni shwari.
Nimeileta kama nilivyoisikia kutoka reliable source
Sisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....
Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu
Nani kakwambia? Mara ngapi wameuana Zanzibar wakati Kawe na Mbagala wanaendelea na kazi zao. Wangapi kule Tarime na Chunya wanafahamu hata Zanzibar ni mnyama gani? Au unataka kusema vijana wa CUF watakuja kufanya fujo huku Bara; si watapigwa?Amani ikivurugika Zanzibar hayo yote uliyoyaainisha hapo juu yatakua si lolote kwani bila Amani na Utulivu huko Visiwani hakuna kitakachofanyika huku Bara.
habari hii imekaa poa sanaWadau habari nilizopata kutoka Dodoma hivi punde ni kuwa siku ya Jumanne Bungeni Dodoma moto utawaka kwani kuna hoja itatolewa ya kujadili suala la Zanzibar kama suala la dharura na kuwa shughuli zingine zisiendelee mpaka hilo lipatiwe ufumbuzi kwanza.
Hoja hiyo pamoja na kutoka upinzani lakini habari ni kuwa wapo wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono bila kujali mikakati waliyopewa kikao cha Kinana majuzi.
Wabunge hawataki uvunjifu wa amani utokee ndio eti hatua zichukuliwe, kwani kimya cha watu visiwani sio kuwa hali ni shwari.
Nimeileta kama nilivyoisikia kutoka reliable source
Ni lini mlijitenga na ZanzibarSisi watanganyika tuna shida ya barabara, maji, umeme, huduma bora za afya na elimu, masoko ya uhakika, mbinu bora za kilimo na kuongeza tija, ajira kwa vijana na mambo meengi, wabunge tumewaagiza mkatutekelezee haya.....
Miaka mitano sio mingi.....shauri yenu
Mkuu yehoyada Kama usemavyo ni kweli kwa nini wale wabunge watano watokanao na baraza la wawakilishi hawapo? Maana bao ni sehemu ya wabunge WA Bunge la JMT. Usiongee mbele ya watu hivyo utachekwa Mkuu!
Swala la uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano.Wazanzibari walilikataa na halimo kwenye katiba ya muungano.Ni la wazanzibari wenyewe.Bunge likilijadili litakuwa limevunja katiba kulijadili jambo ambalo si la muunganoTunawaomba wabunge wetu wote simamieni ukweli bunge lisijadili chochote mpaka hatima ya zanzibar ijulikane.. Nchi haiwezi kuendeshwa kihuni kisa siasa na maslahi ya Ccm.