Bunge la 12 Mkutano wa 17 Kikao cha kwanza, Oktoba 29, 2024

Bunge la 12 Mkutano wa 17 Kikao cha kwanza, Oktoba 29, 2024

Bunge la 12..

Mkutano wa 17...

Kikao cha kwanza...

Ufafanuzi pls!
 
Bunge lazima lijali zaidi wananchi kuliko Chochote kama ilivyo Kenya
 
Bunge lazima liwe ni mchanganyiko wa vyama ili kupunguza ukada
sasa wenngine hata kujiandikisha hawajajiandikisha unategemea watagombeaje halafu ndiyo wakwanza kusema wameibiwa kura wakati hawakupiga hizo kura
 
Kikao cha ccm hiki. Hakuna anayekifuatilia.
 
Bunge lazima lijue Watanzania hawafurahishwa na mienendo yake hasa ya kubebanabebana
 
Bunge lazima liwe na heshima liliyojitengeneza kama I'll livyokuwa kwa Sita na Makinda
 
Back
Top Bottom