Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kama kawaida, Bunge linaendelea muda huu na ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanauliza na mawaziri wanajibu hoja husika, tuwe pamoja kufatilia yanayojiri kutoka viunga vya mji wa Dodoma.
View: https://www.youtube.com/watch?v=i2OqSWWMSO0
View: https://www.youtube.com/watch?v=i2OqSWWMSO0