usiseme hakuna anyefuatilia tupo milioni 60+ sema wewe hufuatilii umekalia kubet halafu njaa ikiuma unaanza kusema serikali mbaya kumbe hufanyi kazi kila siku umekalia majunguKikao cha ccm hiki. Hakuna anayekifuatilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiseme hakuna anyefuatilia tupo milioni 60+ sema wewe hufuatilii umekalia kubet halafu njaa ikiuma unaanza kusema serikali mbaya kumbe hufanyi kazi kila siku umekalia majunguKikao cha ccm hiki. Hakuna anayekifuatilia.
Tume huru tayari ipoMchanganyiko hauwezi kupaikana kwa "tume mtu" (inatakiwa kuwe na tume huru)
Nikweli mwitikio wa Wananchi kufuatilia Bunge ni mdogo sanausiseme hakuna anyefuatilia tupo milioni 60+ sema wewe hufuatilii umekalia kubet halafu njaa ikiuma unaanza kusema serikali mbaya kumbe hufanyi kazi kila siku umekalia majungu
Huu wako nao ni Ujinga tuHakuna bunge ila Kuna wezi waaccm waliokutanishwa dodoma
Kusanyiko la majangili tupuHakuna bunge ila Kuna wezi waaccm waliokutanishwa dodoma
Hili ni kusanyiko la majangili tupuBunge lazima liwe kama Mabunge mengine Kwakuwa Tanzania sio kisiwa
Haya yapo kuiba mali za umma pekeeBunge lazima liwe na Uchungu wa kulinda Mali za Watanzania
Kama kawaida, Bunge linaendelea muda huu na ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanauliza na mawaziri wanajibu hoja husika, tuwe pamoja kufatilia yanayojiri kutoka viunga vya mji wa Dodoma.
View: https://www.youtube.com/watch?v=i2OqSWWMSO0
Ukajiandikishe kwenye uchaguzi ambao watu wanaingia na matokeo?sasa wenngine hata kujiandikisha hawajajiandikisha unategemea watagombeaje halafu ndiyo wakwanza kusema wameibiwa kura wakati hawakupiga hizo kura
Kama kawaida, Bunge linaendelea muda huu na ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanauliza na mawaziri wanajibu hoja husika, tuwe pamoja kufatilia yanayojiri kutoka viunga vya mji wa Dodoma.
View: https://www.youtube.com/watch?v=i2OqSWWMSO0
Kama kawaida, Bunge linaendelea muda huu na ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanauliza na mawaziri wanajibu hoja husika, tuwe pamoja kufatilia yanayojiri kutoka viunga vya mji wa Dodoma.
View: https://www.youtube.com/watch?v=i2OqSWWMSO0
Siwezi kufuatilia ujinga tupubora niangalie marudio ya game ya Yanga na Coaster
Waambie ukweli Hawa majambazi wa ccm! Bunge linaloikingia kifua serikali ni la hovyo sana!Hakuna bunge ila Kuna wezi waaccm waliokutanishwa dodoma