Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
sasa wenngine hata kujiandikisha hawajajiandikisha unategemea watagombeaje halafu ndiyo wakwanza kusema wameibiwa kura wakati hawakupiga hizo kuraBunge lazima liwe ni mchanganyiko wa vyama ili kupunguza ukada
Ndio maana nimesema Bunge lazima liwe na mchanyantoKikao cha ccm hiki. Hakuna anayekifuatilia.
Mchanganyiko hauwezi kupaikana kwa "tume mtu" (inatakiwa kuwe na tume huru)Ndio maana nimesema Bunge lazima liwe na mchanyanto