Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

ephen ana masihara sana anasema eti wewe una Bachelor's Degree in Mechanical Engineering wakati wewe ni chawa mwandamizi wa mama,ana utani sana huyu Binti.
Akisemecho ephen juu yangu ni sahihi kabisa na kinakuwa cha ukweli kabisa. Hata akikuambia nawaza nini ujuwe anakuwa sahihi maana yeye ndiye nimemkabidhi moyo wangu.
 
Hizo ni ndoto za mchana unazoota wewe. Hao watatangazwa mapema sana kuwa wameshinda. Na kuna uwezekano wasiwe na washindani majimbo mwao.
Huna habari kuwa sheria zimebadilishwa,ule upuuzi wa kuteka wapinzani ili mpite bila kupingwa siku hizi hakuna.
 
Mbona yeye haandiki utopolo kama wewe.?
Kwani mimi wapi naandika kama unavyosema au ndio njia ya kummendea? Sasa ole wako nikute unaleta mazoea kwa ephen utaona nitakacho kufanya. Nitakutegua Mwili na sitakuwa na kesi polisi wala mahakamani maana nitakuwa najilinda na kulinda mali yangu jambo ambalo linaruhusiwa.
 
Huna habari kuwa sheria zimebadilishwa,ule upuuzi wa kuteka wapinzani ili mpite bila kupingwa siku hizi hakuna.
Watapigiwa kura ya ndio au hapana.ambapo naamini kura za ndio zitamiminwa kwa kishindo kwa miamba hii.
 
Huyo mbona mimi ndiye nilianza naye kitambo tu,wewe umekuja macho juu nakuangalia tu,hiyo pisi yangu kabisa. Ngoja akuchune kwanza halafu anazileta tunazitia kiberiti.
 
Huyo mbona mimi ndiye nilianza naye kitambo tu,wewe umekuja macho juu nakuangalia tu,hiyo pisi yangu kabisa. Ngoja akuchune kwanza halafu anazileta tunazitia kiberiti.
Yule Binti ni akili kubwa na hawezi kuwa na vichwa panzi aina yako.
 
Makonda mpaka 2026 atakua jera Kwa mashitaka ya mauaji ikiwa ni pamoja namakoaa ya kumshambulia LISSU Kwa RISASI za kivita vuta muda
 
Bunge liliwaka moto kwa kuwa na wabunge wanaoweza kusoma na kuchambua nyaraka kwa umakini. Ninaowakumbuka ni kuanzia kwa akina Tundu Lisu, Zito Kabwe, Msigwa, Mnyika, Mbatia etc. Kafulila alikuwa mzuri, ila baada ya kuingia Serikalini anakuwa sehemu ya utetezi ila sio mashambulizi. Makonda mtoe kwenye kundi la watu wanaotumia akili, mpeleke kwenye mikutano ya kutukanana na vijembe.
 
Hao niliyowataja ni miamba kwelikweli.angalia namna Chuma Mheshimiwa Kafulila alivyokuwa akilitikisa bunge kwa hoja Nzito nzito.Muangalie pia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda katika Bunge maalumu la katiba.
 
Sasa bunge la chama kimoja cha wezi kinakuwaje na mvuto? Hata wakiongezeka na wengine 3000 hali itakuwa mbaya zaidi tu, kumbuka mwaka ule bunge lilipokuwa la moto kwa hoja za maana kutoka kwa wabunge wa upinzani serikali ya ccm(ambayo nayo ilikuwa na wabunge humo ndani) iliamuru bunge liendeshwe kimya kimya,wakazuia redio na Tv station wasionyeshe ili raia wasisikie madudu yaliyokuwa yakiibuliwa na wapinzani,bure kabisa nyie
 
Kinachofanya Bunge likawa na mvuto ni Uzito wa hoja na mijadala mizito inayoendeshwa na wabunge ndani ya Bunge. ambapo hiyo Miamba niliyoitaja Ni miamba kwelikweli katika suala la kujenga hoja zenye ushawishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…