Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

Bunge la Dkt. Tulia lenye Paul Makonda na David Kafulila ndani yake litawaka moto na kuteka mioyo ya watanzania hapo mwakani

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Huwezi kumuweka Kafurila na Makonda kundi moja, Kafurila ni binadamu aliyemeza theory za shule bila kujua uhalisia wa mambo na nchi hasa inataka nini.

Makonda ni mtoto wa mjini anayejua Tanzania na watanzania wanataka nini na tatizo la nchi liko wapi hasa.
 
Huyu hu
Huwezi kumuweka Kafurila na Makonda kundi moja, Kafurila ni binadamu aliyemeza theory za shule bila kujua uhalisia wa mambo na nchi hasa inataka nini.

Makonda ni mtoto wa mjini anayejua Tanzania na watanzania wanataka nini na tatizo la nchi liko wapi hasa.
Huyu huyu zero brain
 
Huwezi kumuweka Kafurila na Makonda kundi moja, Kafurila ni binadamu aliyemeza theory za shule bila kujua uhalisia wa mambo na nchi hasa inataka nini.

Makonda ni mtoto wa mjini anayejua Tanzania na watanzania wanataka nini na tatizo la nchi liko wapi hasa.
Hao ni Miamba wanaoelewa maisha ya uhalisia na siyo ya kukalili nadhalia. Ukitaka ufahamu hayo angalia mfano Mheshimiwa Kafulila alipokuwa Mbunge,Ras Songwe,RC Simiyu na Sasa mkurugenzi wa PPP. Ni wapi ambako hajaacha alama chanya? Ni wapi ambako hakumbukwi? Ni wapi ambako jina lake halijabakia? Ukiona mimi nimemuandika na kutambua Mchango wa Mtu kwa Taifa letu nakuwa nimefanya utafiti wa kutosha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
litalitakua la moto mno, tena ni moto wa maendeleo ya uhakika kwa waTanzania :FIRE:
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Engineer ndiyo aandike utopolo huu kweli,ephen wacha masihara !
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati nilishuhudia kwa macho yangu Mwenyewe watu wakiacha na kusimamisha kazi ili wafuatilie mijadala ya Bunge, nilishuhudia watu wakiwa vikundi vikundi vibanda umiza wakiwa wanafuatilia kwa ukaribu sana bunge na kujuwa kabisa akitoka fulani kuchangia anafuata fulani. Nilishuhudia watu wakiwa na hamasa na kiu ya kusikia Mbunge Fulani Zamu yake ifike ili wasikie mawazo yake.

Nilishuhudia Hata magazeti yenyewe yalikuwa yakipambwa kwa picha na matukio ya kutoka Bungeni.Wabunge wenyewe walikuwa na morali na kujisomea sana ili asiachwe nyuma ya mijadala inayoendelea Bungeni,kwa kuwa ndani ya Bunge zilikuwa zinashushwa hoja nzito nzito kwelikweli zinazoambatana na vifungu vya kisheria,nyaraka na matamko,ambapo kama hujasoma utaishia kuburuzwa na kupewa taarifa muda wote.Hii ndio sababu Bunge lilikuwa na mvuto wa kipekee kabisa.

Mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka shuleni nilikuwa nakwenda maeneo ya Mwanjelwa au Kabwe pale Mbeya mjini kununua magazeti hata mawili kwa hela ambayo ilikuwa ni ya mboga.nilikuwa najibana hela nayopewa kwa matumizi shuleni ili ninunue magazeti.na kwa kweli nilikuwa nafahamika sana shuleni kuwa ni Nguli wa Siasa shule nzima.

Unajuwa kwanini Bunge liliteka hisia za watu? Jibu ni kuwa lilikuwa na wabunge machachali sanaa ,wengine walikuwa wakizungumza unaweza ukafikiri ni kutoka Upinzani kumbe ni wabunge wa CCM. Mawaziri walikuwa wanapata joto na kazi kwelikweli katika kuomba na kushawishi bajeti zao zipitishwe, maana wabunge walikuwa wanajenga hoja Nzito sana.wabunge walikuwa wanapambana kwa kujuwa kuwa ukizembee tu kidogo basi unapigwa mueleka jimboni katika sanduku la kura.

Sasa basi naamini hapo Mwakani pamoja na uzuri wa wabunge wetu waliopo Bungeni kwa sasa,pamoja na ujenzi wao mzuri wa hoja,pamoja na utetezi wao wa hoja zinazogusa maslahi ya watanzania,pamoja na uchungu wao wanapojadili hoja .

Naamini kwa dhati ya Moyo wangu kuwa kuingia Bungeni kwa Miamba hii miwili hapo Mwakani kutateka hisia na mioyo ya watu, kutafanya bunge liwe kivutio cha watu, kutafanya watu washinde kutwa nzima wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti za wizara mbalimbali Bungeni .

Embu fikiria Upande mmoja yupo Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na upande Mwingine kipo Chuma David Kafulila Msomi wa BBA , halafu mbele yao Yupo Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini Mheshimiwa Dkt Tulia Rais wa IPU. Mnafikiri hali itakuwaje huko Bungeni? Mnafikiri nani atapanga kukosa kufuatilia Bunge hilo?

Ikumbukwe kuwa hata mashabiki wa mpira huenda kwa wingi uwanjani kutokana na Nyota waliopo katika vikosi vya timu zote. Unafikiri kwanini wakati fulani El classico ilikuwa na mvuto sana Duniani? Jibu ni kwa kuwa upande mmoja wa Madrid alikuwepo Mwamba Christiano Ronaldo na upande Mwingine wa Barcelona alikuwepo Mwamba Lionel Messi.

Mnafikiri kwanini uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mvuto sana? Jibu ni kwa kuwa kulikuwa na Miamba miwili kutoka vyama viwili shindani. Yaani huku Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Magufuli na upande wa pili kulikuwepo na Mwamba wa kasikazini Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Huku Helkopta inapita juu halafu upande wa pili magari yanapita chini na Helikopta inapaa angani ikiwa na Rangi ya kijana kuashiria chama Tawala kikitawala anga la siasa . Ilikuwa ni raha juu ya rahaaa. Utamu juu ya utamuu.

Mwisho niseme kuwa sijamaanisha na wala nisinukuliwe vibaya kuwa nimesema kuwa bunge la Awamu hii kuwa halifuatiliwi au haina mvuto,bali namaanisha kuongezeka kwa Miamba hiyo kutaongeza chachu namvuto wa kipekee kabisa.

Ni kama ambavyo Yanga ilivyobeba Ubingwa na Mayelle, msimu uliokujaa ikaongeza usajili mkali kwa kuwaleta watu kama Pacome Zouzou , yao yao, Zengeli, Guede na wengine ambao wameleta uhondo wa kipekee ambapo kama siyo hujuma ya Refa ,basi Yanga ilikuwa inakwenda Nusu fainali klabu Bingwa Afrika katika Historia ya soka letu kwa kuiondosha Mamelodsundown ya Afrika kusini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sisi hatutaki kuwaka moto tunataka vitendo kama ambavyo samia anafanya.
 
Back
Top Bottom